Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba alimtoa kafara?Kuna maneno yasiyothibitishwa kuwa Bavon Marie aliuliwa na nduguye Franco ili yeye Franco aendelee kimuziki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, Bavon Marie alifariki tarehe 5 Agost 1970 katika ajali ya gari baada ya ugomvi uliotokana na mpenzi wa Bavon aliyeitwa Lucy, ambapo Bavon alimshutumu kaka yake kuwa kalala na mpenzi wake huyo. Ajali hiyo ilisababisha Lucy akakatika miguu yote mwili.
Hii SIDA ndo ilimuua Franco, au sivyo Mkuu?
Hii SIDA ndo ilimuua Franco, au sivyo Mkuu?
Sasa ugomvi na Lucy unaletaje ajali mkuu?Hapana mkuu, Bavon Marie alifariki tarehe 5 Agost 1970 katika ajali ya gari baada ya ugomvi uliotokana na mpenzi wa Bavon aliyeitwa Lucy, ambapo Bavon alimshutumu kaka yake kuwa kalala na mpenzi wake huyo. Ajali hiyo ilisababisha Lucy akakatika miguu yote mwili.
Namfahamu mtoto wake mmoja tu anayeitwa Yves emongo luamboMkuu Ushimen Mzee Franco hakuwahi kuwa na MKE na watoto?