inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Yaani umeandika togwa tu,hakuna substance,mdororo wa uchumi tz umetoka wapi,Nani kakwambia upo?...mega project ipi ambayo haieleweki muelekeo wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gharama ya kizazi kukosa elimu ni kiasi gani!?...weka kwenye tshNchi yenye ardhi nzuri kwa kilimo Karibu asilimia 88%,bado inaagiza mbolea ila inakopa ma trillion ya pesa kwa ajili ya kujenga madarasa na matundu ya vyoo. Tatizo la Tanzania sio pesa, hii nchi haina viongozi wenye maono ya kuivusha nchi hii. Wachumia tumbo wote.
Huo mfumo kaubeba nan?Ccm tungeitoa tu jaman ivi haiwezekani.Tutamlaumu mama bure.Tatizo mfumo
Ndo mana maendeleo ni kwa mwendo wa kobe tzMkuu ushindi wa CCM huamuliwa kwenye sanduku la wapiga kura?
2020 Samia Suluhu akiwa makamu alipata kusema,
Hata mkichagua vyama vingine CCM itaenda kuunda serikali yake
Hiizi propaganda za kijinga kabisa.... Swali ni kwamba je bado tupo uchumi wakati??Acha kuhemka Mzee baba,unajilisha upepo bure,Uchumi upi ukiofeli Mzee? Uchumi ukiofeli unaweza kuzalisha pesa hizi 👇
View attachment 2177496
View attachment 2177497
Mimi na wewe nani mjinga? Kwamba ukweli siku hizi ni propaganda au?Hiizi propaganda za kijinga kabisa.... Swali ni kwamba je bado tupo uchumi wakati??
Uliberi ndio hauna regulations?? Mnajiamulia tuu??Tofauti za kinadharia ni lazima,hii ni awu ya 6 sio ya 5.
Hii ni serikali ya kiliberali inaamini uhuru wa kutoa Maoni na uhuru wa kiuchumi na utakula kwa jasho lako,hakuna vya bure
View attachment 2177500
View attachment 2177501
Tumia akili, taasisi za udhibiti ziko kwa ajili gani sasa kama hakuna regulation's?Uliberi ndio hauna regulations?? Mnajiamulia tuu??
Hayo mafanikio unapima kwa kipimo kipi?? Ajira 36000 katika mamilion ya ma graduates acha kutufanya wajinga narudia tenaMimi na wewe nani mjinga?
Uchumi ukiofeli unaweza zalisha ajira kama hivi? 👇
View attachment 2177862
View attachment 2177863
View attachment 2177864
Unadhani bila mimi kuandika huu uzi asubuhi ya leo waziri mkuu angezumza hili???Tumia akili, taasisi za udhibiti ziko kwa ajili gani sasa kama hakuna regulation's?
Tafuta excuse nyingine,PM huyu hapa 👇
View attachment 2177867
Acha utotoUnadhani bila mimi kuandika huu uzi asubuhi ya leo waziri mkuu angezumza hili???
nia hawana sema aibu ndo zinawasumbua
Kwani we upo wapi?Nyie mlie tu hakuna namna
Ndio ni mafanikio kwani zilikuwepo? Tuonyeshe na wewe za kwako hata moja au wewe mwenyewe ndio jobless?Hayo mafanikio unapima kwa kipimo kipi?? Ajira 36000 katika mamilion ya ma graduates acha kutufanya wajinga narudia tena
Nyinyi ndio mnafanya ujinga kwakusifia sifia hovyo mkidhani ndio heshima kumpe ni upumbavuAcha utoto
Nimetengeneza ajiria zaid10 wote wanategemea pesa yangu mwisho wa mwezi....Ndio ni mafanikio kwani zilikuwepo? Tuonyeshe na wewe za kwako hata moja au wewe mwenyewe ndio jobless?
Mdomo kila mtu anao.Pili unaweza tengeneza ajira kama uchumi wa Nchi ni mbaya ? Hilo linahitaji uchumi wa Kati? 😄😄😄😄😄😄😄😄Nimetengeneza ajiria zaid10 wote wanategemea pesa yangu mwisho wa mwezi....
bado nasisitiza mazingira kwa sekta binafsi kutengeneza ajira bado ni ngumu na pia makusanyo ya serikali hayajakaa kustimulate uchumi zaidi ya kudororesha
Tuamke sasa tunapelekeshwa mnooNchi hii inakabiliwa na matatizo matatu U J I N G A,, M A R A D H I ,,,,,U M A S I K I N I
Kwa sasa kila mtanzania ataguswa direct,, nadhani sasa akili ya watanzania itakaaa sawa.