Mwanzo wa meditation

Mwanzo wa meditation

Ya kuhesabu Nimeanza na 100,99,98 mpaka zéro hakuna,nikaongeza hesabu 200,198,196 mpaka 2 hakuna kitu,na sasa mkuu nimekalili mpaka namba hizo zimekuwa kama wimbo....pls msaada RAKIMS.....!!

Je, Pindi Unapotaka Kuanza Hii Kitu Mapigo Ya Moyo Huwa Katika Speed Au Slow Au Kawaida?
Niambie Ndoto Ya Mtindo Upi Unaiota Mara Kwa Mara Au Umewahi Kuiota Mara Mbili Unayoikumbuka..

#Rakims
 
Mala nyingi mapigo ya moyo huwa slow kwani hufanya aiza Nimemaliza kuoga kama muda huu,saa tano mpaka sita ucku ndio muda wangu wa kulala, lakin pia mala tatu nimejaribu kuweka arm ya saa saba na nusu au nane ili kujaribu nikiamini kuna utulivu mkubwa lakini hakuna kitu mkuu.

Ndoto nyingi huota nasafiri kufuata biashara au pesa....Ndoto hizo hujiludia ludia sana, pia kuna msichana tumeachana miaka Mitano iliyopita huwa pia namuota mala kwa mala kuwa tumekutana maongezi, ni hizo tu mkuu....!!
 
Mala nyingi mapigo ya moyo huwa slow kwani hufanya aiza Nimemaliza kuoga kama muda huu,saa tano mpaka sita ucku ndio muda wangu wa kulala,lakin pia mala tatu nimejaribu kuweka arm ya saa saba na nusu au nane ili kujaribu nikiamini kuna utulivu mkubwa lakini hakuna kitu mkuu,Ndoto nyingi huota nasafiri kufuata biashara au pesa....Ndoto hizo hujiludia ludia sana,pia kuna msichana tumeachana miaka Mitano iliyopita huwa pia namuota mala kwa mala kuwa tumekutana maongezi,ni hizo tu mkuu....!!

Ndoto Zako Tu Zinaonyesha Hata Third Eye Area Haijaanza Ku Vibrate.. Ila Usikate Tamaa Mkuu Em Anza Kufanya Ya Third Eye Area View From Inside Hii 99.9% Percent Itaamsha Upesi Third Eye Mkuu Takupa Na Binaural Beat Moja Ambaya Itakusaidia Baadae.. Lakini Yataka Zoezi La Macho Mkuu..

#Rakims
 
Hakuna shaka mkuu.....nivute subira kidogo....lakin si niendelee kufanya mazoezi ya namba au yapo mazuri... ?? RAKIMS
 
Hero’s-Meditation-Pose-Dhyana-veerasana1.jpg
 
chasmed.jpg
Hii Ni Baadhi TU Ya Mikao Ya Meditation....!
 
Aiseee swali...
Umesema unakuwa unaangalia katikakati ya nyusi na nyusi... Unaangalia kwa macho kabisa au kwa hisia tu??????????? Unaangalia vp?
 
Mkuu mshana hongera sana kwa kuipata hii elimu sasa kupitia hii jukwaa tupe na sisi..

Najitahidi kutoa yale niliyojifunza hasa kupitia uzoefu binafsi lakini pia nami nimejifunza mengi zaidi kupitia kwa wachangiaji Wengine hasa wale waliotoa elimu kubwa ya meditation
Kwa uchache niwataje hawa Rakims Mtambuzi Pasco na wengine wote waliotoa somo la meditation katika uhalisia wake
 
Last edited by a moderator:
Najitahidi kutoa yale niliyojifunza hasa kupitia uzoefu binafsi lakini pia nami nimejifunza mengi zaidi kupitia kwa wachangiaji Wengine hasa wale waliotoa elimu kubwa ya meditation
Kwa uchache niwataje hawa Rakims Mtambuzi Pasco na wengine wote waliotoa somo la meditation katika uhalisia wake

Nadhani Hivyo Vichwa Vingegawana Majukumu Darasa Lingekuwa Rahisi Na Watu Wengi Wangepata Faida...

#Rakims
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom