msafiri.razaro
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,244
- 743
Sio Kweli Mkuu Hao Ndio Wanaofanya Meditation Kuonekana Inalalia Imani Fulani Fulani Moja Kati Ya Kauli Mbiu Ya Kuelezea Meditation Inasema
"Prayer Is When You Speak With God, Meditation Is When You Speak With You"
you are you....
Sasa Mfano Wewe Unaareji ya Nyama Ya Mbuzi Ukila Nyama Ya Mbuzi Unasinzia Mwili Unakosa Nguvu Kwakuwa Uelewa Wako Mdogo Sio Kweli huu mfano
"Unaanza Meditation Sasa Ili Kuikwepa Ile Hali Unaona Sheria Yangu Ya Kwanza Hakuna Kula Mbuzi"
Siku Ukipata Mwanafunzi Lazima Tu Utamwambia Asile
Kama Umefanya Meditation Sahihi Mkuu Ubongo Ndio Unakuwa Unakupa Taarifa Kuwa Hapa Unahitajika Mchicha Hapa Inahitajika Chai Hapa Inahitajika Supu..
Vyakula Ulivyokuwa Na Areji Navyo Utaanza Kula Kimoja Kimoja Utaona Muujiza Lakini Utashangaa Havikuzuru Hamu Ya Kufanya Mambo Ya Maendeleo Unadumu Zaidi Kuzubaa Zubaa Kunaisha Kuumwa Kichwa au mwili hovyo hovyo unasahau..
ukiona mtu anafanya meditation hali mayai basi jua huyo mwalimu wake alimkaririsha hivyo Mkuu..
Utajikuta Unakula Yakula Ya Kujenga Mwili Utapenda Kufanya Mazoezi Mazuri Utakuwa Mwepesi Sumu Za Madawa Mwilini Zitakutoka Mapepo Wenye Nayo Huwakimbia Pia... ni faida nyingi sana hazielezeki kwa maandishi tu
"Rakims"
Rakims, kutokula nyama, samaki au mayai au kupractisevegetarianism sio sababu ya imani bali ya kidini kwa ajili ya ku attainstate of body and mind ambayo iko cum iliuweze kuipita (transcending ofmind) or go beyond the mind ndio maana inakuwa vigumu kwa mvuta bangi aumlevyi kutuliza akiri. Unless kama unafanya meditation kwa sababu ulizozitualakini meditation pia ndio njia sahihi ya kumjua mungu.
Apart from body and mind, kuna self ambayo ndio true nature yetu kwa kuwa kwenye self tuu ndio tunawezajua mungu kwani katuumba kwa mfano wake. Its true when meditating you speakwith yourself but then you will realize god is in you and you and God are one.I and I is one love and bliss, everything you see is in you but is transformationof colors, sounds, tastes limited in time and space.