Mwarabu fighter kafungua kampuni yake ya ulinzi

Ndio maana Wenye busara hutu asa kuwa tusiwalaumu sana wanaotukwaza ili hali maamuzi yao huenda ndio mwanzo wa hatua zako za kuelekea mafanikio.

Bila kutokea kilichotokea bado angebaki kuwa muajiriwa wa WCB.
Umeongea jambo la maana sana ndugu, kila jambo hutokea kwa sababu zake. Hivyo vijana tuna wajibu wa kuchukulia matatizo yetu kama fursa ya kuwa imara na kuthubutu kufanya makubwa zaidi. Kwa mfano: kukosa kazi ya kuajiriwa ikupe akili ya kupata mbadala ili usonge mbele, kufukuzwa kazi iwe chachu ya kuepuka utumwa n.k
 
Mange ilifungiwa na serikali halafu hakuwa serious sana ila akidhamiria itamtoa
Asingeweza kutoboa.... Wabongo wanapenda dezo! Sio rahisi kuwauzia Ubuyu! Wabongo hata habari za maana hawapendi kutumia nguvu kuzipata! Kumbuka kifo cha KITANGOMA, JARIDA LA YANGA! Angalia hata idadi ya watu wanaobeba magazeti ya BAMAGA, wanazidi kupungua! Kosa lingine Mange alianzisha App afu akaendelea kubaki insta akirusha udaku! Isingewezekana watu wamfate kule App!
 
SAFIIIII!
nashangaa kifesi anavokaa kulia lia sijui diamond kanibloki sijui nn !!

ANGEWEZA KUKOMAA NA JINA AKAWA NA FIRM YAKE KWENYE ENEO LA PICHA NA VIDEO PRODUCTION.

NDO JINA KIFESI LINAONDOKA UPANDE WA MAPICHA PICHA!!
Kifesi uwezo wake ni mdogo,bado kivuli cha bosi wake kinamchoma
 
Kifesi uwezo wake ni mdogo,bado kivuli cha bosi wake kinamchoma

true jamaa amekaa wcb miaka mingi kama mpiga picha wa diamond ameshindwa tumia jina lake na kuanzisha hata online tv.. au kampuni ya picha na video za maharusi.. amekaa na lukamba muda mrefu ameshindwa kujifunza video. mpaka leo anakomaa na picha tu za mamodo...

picha hazilipi kama video kibongo bongo
 
Kama Mwarabu Fighter kawazidi wote urefu, basi bora ingeitwa Mbilikimo Security. Hawa watakuwa walizaliwa njiti halafu leo eti wanaiita mabaunsa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…