Mwarabu fighter kafungua kampuni yake ya ulinzi

Mwarabu fighter kafungua kampuni yake ya ulinzi

Unajua jamaa wa black water ni former special forces operator. Yeye mwenyewe ni former seal. Tatizo ni kupata vijana wenye background ya nzuri ya mafunzo ya kijeshi au uwanja vita hapa tz ni ngumu kidogo.

Ila wapo wachache... jamaa atafika mbali.
Kwa hapa bongo,hauhitaji special force,mafunzo ya mgambo kwa kuanzia yanatosha,kwanza sheria zetu sidhani kama zinaruhusu vikundi vya ulinzi kuwa na silaha za moto,zaidi ya gobole.
Huko Cameroon kuna Kijana wa mtaani,a.k.a chokoraa,nae alianzisha kampuni ya ulinzi kama Erick wa blackwater,
Leo nae kishamake money,na kampuni yake inakamata contractor za ulinzi karibu west Africa nzima
 
[QUOTE="Webb, post:.. 27786576, member: 391065". ]View attachment 823750
Ni hatua kubwa sana kwake,mara baada ya tetesi nyingi za kufukuzwa WCB.
Bora kaamua kujiajiri,na umaarufu wake utamsaidia kujitangaza sana.

Hongera bro.[/QUOTE]
Amefikiri nje ya box.amethubutu.big upsana bro
 
Mzungu alikuja akatawala akili za watu weusi akaondoka akaacha sumu kali sana ya kujidharau, tukiweza kuitoa hii sumu tutafika mbali kweli


No, mzungu kaacha makanisa na majina kama Nelson. Sumu ushaimeza halafu hujijui.
 
Labda walinde harusi na mambo mengine, ukiwa na mihela yako au home watu kama hawa ndio wachonga dili wenyewe, jilinde mwenyewe.
Usimhukumu mtu kabla! Nadhani hata yeye atakuwa anajua kuwa silaha kubwa ya kufanikiwa kwenye kampuni yoyote ya ulinzi ni ktunza siri za mteja na uaminifu! Mbona huko alikokuwa hajaonyesha kuvunja hiyo miiko?
 
Kumbe video hawezi?
Kwani kujifundisha ku-shoot video ni ngumu sana au? Hiki ni kitu mtu yoyote mwenye nia anaweza kujifunza kwa muda mfupi. Hasa mtu ambaye yuko kwenye fani ya picha!
 
Unajua jamaa wa black water ni former special forces operator. Yeye mwenyewe ni former seal. Tatizo ni kupata vijana wenye background ya nzuri ya mafunzo ya kijeshi au uwanja vita hapa tz ni ngumu kidogo.

Ila wapo wachache... jamaa atafika mbali.
Nani ni former seal?
 
Nani ni former seal?
Mwanzilishi wa black water security services. Anaitwa erik prince. Huyu alikuwa commando katika jeshi la maji la marekani . Alamaarufu kama navy seals au seal.

Alipo staafu ndio akaanzisha security firm inaitwa black water. Na wanaajir sana sana watu wenye background za jeshi.
 
Safi kuna mwenzake alikuwa anajiita ngumi jiwe aliwika sana kwa kutajwa na dully sijui kapotelea wapi?
Huyo Arafat ngumi jiwe kuna siku nilisikia kwenye kipindi cha XXL wamempigia simu wanamuuliza eti ni kweli alifumaniwa na mke Wa mtu akala kichapo cha hatari na kisha akaliwa tigo? Ila akakataa japo kwa muda huo alikili kuwa hajisikii fresh. Na Dully Sykes alipopigiwa simu akasema yeye ni kweli ametemana nae kwa sababu kashfa ya huyo jamaa si nzuri hata kwa watoto wadogo kuisikia.
 
Back
Top Bottom