Mkuu kilitokea nini hadi akaondoka wcbNdio maana Wenye busara hutu asa kuwa tusiwalaumu sana wanaotukwaza ili hali maamuzi yao huenda ndio mwanzo wa hatua zako za kuelekea mafanikio.
Bila kutokea kilichotokea bado angebaki kuwa muajiriwa wa WCB.
Kuna yule baunsa wa Chid Benz alikuwa mbavu nene sijui aliishia wapiNamkumbuka NGUMI JIWE, Dully alimuimba sana!
Kumbe video hawezi?true jamaa amekaa wcb miaka mingi kama mpiga picha wa diamond ameshindwa tumia jina lake na kuanzisha hata online tv.. au kampuni ya picha na video za maharusi.. amekaa na lukamba muda mrefu ameshindwa kujifunza video. mpaka leo anakomaa na picha tu za mamodo...
picha hazilipi kama video kibongo bongo
Editing tu ya pichaKama Mwarabu Fighter kawazidi wote urefu, basi bora ingeitwa Mbilikimo Security. Hawa watakuwa walizaliwa njiti halafu leo eti wanaiita mabaunsa.
Kifesi ana tabia za kike.SAFIIIII!
nashangaa kifesi anavokaa kulia lia sijui diamond kanibloki sijui nn !!
ANGEWEZA KUKOMAA NA JINA AKAWA NA FIRM YAKE KWENYE ENEO LA PICHA NA VIDEO PRODUCTION.
NDO JINA KIFESI LINAONDOKA UPANDE WA MAPICHA PICHA!!
Wana jf walidai alibakwaSafi kuna mwenzake alikuwa anajiita ngumi jiwe aliwika sana kwa kutajwa na dully sijui kapotelea wapi?
Wale vijana wakiamua kufanya kazi yao hakuna wa kuwazuiaNgoja nitafute mlinzi wangu binafsi wa kunilinda.. Maana vijana wa jiwe mda wowote wanaweza kuondoka na kichwa cha mtu
Alikuwemo humu akakimbia, mwepesi sanaKifesi ana tabia za kike.
Yupu humu JF.
Huyo anaumwa ugonjwa wa mange huyo hajui nguvu ya mange!Mange ilifungiwa na serikali halafu hakuwa serious sana ila akidhamiria itamtoa
Mange ilifungiwa na serikali halafu hakuwa serious sana ila akidhamiria itamtoa
Wale wa HR wataelewastrength
weakness
opportunity
threat
Wamemkaba wifi yakoWaliwahi kukukaba?
Hebu nifungue wakuu, kwani alikuwa nani?Katumia changamoto kama fursa safi sana
Nyie watoto mambo yenu mnapeleka haraka, hebu elezeni vyema...hawa waigiza senema au wanenguaji? Hapo mwarabu ndio yupi, huyu shavu dodo asiyevaa soksi?View attachment 823750
Ni hatua kubwa sana kwake,mara baada ya tetesi nyingi za kufukuzwa WCB.
Bora kaamua kujiajiri,na umaarufu wake utamsaidia kujitangaza sana.
Hongera bro.