Mwarabu fighter kafungua kampuni yake ya ulinzi

Kuna msanii mmoja anaitwa Shilole,huwa kuna muda wengine wanamuonaga kama 'fyatu' lakini ana akili vibaya mno ya kutafuta pesa na kupiga hatua katika kila kitu.

Ametumia umaarufu wake sasa nasikia anapika na anauza vyakula safi tu.
 
Safi sana........nipo tayar kumpa sapoti....
 
Noted mkuu
 
Oooh!, Well done brother. Ndivyo inavyotakiwa vijana wote kuona fursa

I salute him!, badala ya kulia lia yeye kafanya kweli...safi sana
 
Fursa hiyo kibongo bongo atapata wateja
 
La muhimu afanye kazi kwa kuzingatia Weledi atapata sana Pesa na Kazi nyingi.
 
Unajua jamaa wa black water ni former special forces operator. Yeye mwenyewe ni former seal. Tatizo ni kupata vijana wenye background ya nzuri ya mafunzo ya kijeshi au uwanja vita hapa tz ni ngumu kidogo.

Ila wapo wachache... jamaa atafika mbali.
 
Inategemea. Da'Mange ana followers kibao Insta akaona aanzishe app yake lakini aliangukia pua.
App hata wewe unaweza fungua, kwani inagharimu Nini, tatizo serikali yako ilimletea figisu kupitia TCRA....kwani mange amekosa Nini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…