Mwarabu Fighter: Nikiwa kwa Diamond nililala na kula hoteli za kifahari lakini niliishi maisha ya madeni

Kama alikuwa analipwa na akaish maisha ya madeni thats up to him? Daimond anahusikaje tena hapo?
Hapo ameongea kiutu uzima labda hujamuelewa.
Mimi nilichomuelewa ni kwamba kule kwa Diamond kuna maisha ya show off ila pesa inayopatikana ni ndogo ukilinganisha na sasa hivi alivyojitenga na kujianzishia miradi yake binafsi
 
Hapo ameongea kiutu uzima labda hujamuelewa.
Mimi nilichomuelewa ni kwamba kule kwa Diamond kuna maisha ya show off ila pesa inayopatikana ni ndogo ukilinganisha na sasa hivi alivyojitenga na kujianzishia miradi yake binafsi
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…