Mwekezaji inabidi ampe Diamond takriban nusu ya faida ili kutumia jina la WASAFI lasivyo apambane kivyake

Mwekezaji inabidi ampe Diamond takriban nusu ya faida ili kutumia jina la WASAFI lasivyo apambane kivyake

Ila sisi wa kubeti hatuangalii jina, tunaangalia vitu kadhaa. na ndio maana wabetiji kibao wanaacha kampuni kibao za hapa na kubeti za ulaya na urusi huko.
1. Hatutaki kulipa kodi kwa sababu hatusaidiwi hata kidogo na TRA kutafuta odds.

2. Tunataka customercare nzuri coz kubeti ni kazi ngumu nyie! we unafikiri kubashiri mambo yajayo kwa usahihi wakati huna taaluma ni kazi rahisi!

3. Urahisi wa kuwithdraw na kudeposit.

4. Hatutaki kubaniwa option.
Jf waweka na option ya kupin top comments. Umeongea point kubwa sana [emoji23] [emoji120] kongole zako teleee!
 
misukule ya wasafi wanajua Basi?
ukisema ukweli wanaona unamchukia boss wao tajiri
 
misukule ya wasafi wanajua Basi?
ukisema ukweli wanaona unamchukia boss wao tajiri
Mkuu tatizo lipo wapi kwani juu ya hizo kebehi,

Mfano kampuni imeingiza faida ya bilioni 1, Diamond anaweza kupewa asilimia 42 sawa na milioni 420 (wasafi tv na fm anachukua 45%).

Huenda hata zile rolls royce na escallade hajanunua kwa pesa ya muziki, maana deals kama hizi zina mpunga mrefu sana
 
Mkuu tatizo lipo wapi kwani juu ya hizo kebehi,

Mfano kampuni imeingiza faida ya bilioni 1, Diamond anaweza kupewa asilimia 42 sawa na milioni 420 (wasafi tv na fm anachukua 45%).

Huenda hata zile rolls royce na escallade hajanunua kwa pesa ya muziki, maana deals kama hizi zina mpunga mrefu sana
faida anapata yeye hanisaidii kitu.
Ila Kuna misukule yake inaamini kuwa kampuni ni yake [emoji817].hapa ndipo utata unapokuja.
 
Mkuu kama kampuni inahisi inaeda kunyonywa, Mlango upo wazi, Diamond halazimishi, hapa wasafi tv ana mgao wake wa asilimia 45. Hizi jeuri za kununua rolls royce na escallede matoleo mapya kabisa, ni fedha anazodownload kilaini kabisa kwa kutumia umaarufu wake.

View attachment 2024018
Nilikuwa najiuliza muda mrefu "Chawa" ndio watu gani? Lakini wewe umenirahisishia kujuwa kwa usahihi chawa ni mtu wa aina gani.
 
Inategemeana, Jina linabeba goodwill, goodwill ndo wateja. Hata 60% unapewa.
Unapewa hizo asilimia baada ya kutoa gharama za uendeshaji au unapewa zote hizo kwenye net profit?

Na hizo asilimia ni share Katika mtaji au ni za share katika mgawanyo wa faida tu Kwa kuondoa mtaji?
 
Unapewa hizo asilimia baada ya kutoa gharama za uendeshaji au unapewa zote hizo kwenye net profit?

Na hizo asilimia ni share Katika mtaji au ni za share katika mgawanyo wa faida tu Kwa kuondoa mtaji?
Achana na gawio la sehemu ya faida kwa share holders/Eps.
Hapa tunaongelea umiliki wenyewe.
 
Achana na gawio la sehemu ya faida kwa share holders/Eps.
Hapa tunaongelea umiliki wenyewe.
Wewe unaweza kumpa mtu umiliki wa biashara yako Kwa asilimia ngapi Kwa kutumia jina lake tu? Yani ugharamie kila kitu yeye aweke jina tu?
 
Wewe unaweza kumpa mtu umiliki wa biashara yako Kwa asilimia ngapi Kwa kutumia jina lake tu? Yani ugharamie kila kitu yeye aweke jina tu?

Ukiwa na maji yako ukataka kuyauza kwa jina la Azam na maji umefungasha mwenyewe na chupa ni zako unadhani kati ya gharama ulizotumia kufungasha maji yako na jina Azam kipi kina thamani kubwa?
 

Diamond sio mmiliki mkuu wa makampuni kama wasafi tv, wasafi radio, wasafi bet, Diamond karanga (r.i.p), yeye nafasi yake huwa ni co-owner, anachofanya ni kuwekeza tu jina lake na kuchukua asilimia zake kwenye faida. Uhakika wa 40%-49% ya umiliki na faida upo chini yake kwa kutoa tu jina wasafi litumike kwenye kampuni.

Hata Azam Bakhresa nae hufanya hivyo Kwa baadhi ya makampuni yanayotambulika kwa Brand yake maarufu ya Azam, wawekezaji wanaweza kuwa huko nchi nyingine, wao wanamuomba Bakhresa awaruhusu watumie jina la Azam kwa makubaliano ya mgao kwenye umiliki, faida, meejment, n.k

Kpindi kile Diamond Karanga, wahindi walipoona zinauzika sana walitaka kuleta janja janja na ulafi baada ya kuona biashara inalipa, wakaanza kulalamika kwamba wananyonywa kwasababu Diamond kachangia tu jina na anapata mgao mkubwa wakati hajachangia mtaji, Leo hii hizo karanga zipo wapi? Nadhani mmeiona thamani ya jina hapo.

Na hivi ndivyo hali ilivyo kwenye Wasafi tv na Wasafi fm, Kusaga ndie alieweka mpunga kununua vifaa vingi lakini Diamond alichangia tu jina kwa maelewano kwamba atamiliki hisa zinazompa significant influence.

Hata hii kampuni yake mpya ya kubet ya Wasafi bet, ni makubaliano baina ya kampuni ya kubeti ya nchini Kenya inayoitwa odibet, ni kampuni ambayo ingeingia hapa nchini ingepata wakati mgumu sana kupata jina na wateje, kwa hiyo wameamua kutumia shortcut kwa kutumia jina la Wasafi kwa makubaliano kwamba faida wagawane kwa asilimia ambazo ni si haba.

Kama unaona huu ni unyonyaji, hii ni nchi huru, mlango upo wazi unatafuta kwengine

Hongera sana Diamond
Daah namkubali mwamba Nassib kwa kiwango cha juu sana hadi najishangaa wasafi damu kwa chochote. Big up Mond kamua kamua Baba
 
Nashukuru Kwa kuwatoa tongotongo baadhi ya watu wanaozani ni Mali za nasibu lakin si nasibu hata bakhresa nae hufanya hvyo Kwa baadhi ya makampuni yanayoenda Kwa jina lake.
Kwa bakhresa nilikuwa silijui hilo ndio leo nimejua. Ni kampuni yapi ambayo yanatumia jina la bakhresa yakiwa sio yeye mmiliki
 
Ukiwa na maji yako ukataka kuyauza kwa jina la Azam na maji umefungasha mwenyewe na chupa ni zako unadhani kati ya gharama ulizotumia kufungasha maji yako na jina Azam kipi kina thamani kubwa?
Hujaelewa.. Wewe ndio azam kwani?

Nimekuuliza wewe unaweza kumpa mtu asilimia ngapi ya mtaji wako na biashara yako Kwa kutumia jina lake tu?
 
Amari

Huyu jamaa kanifata hadi nyumbani kwanGu kaniambia anataka jibu lake
Kwa mfano wake huo wa Azam yuko off point. Gharama za uendeshaji na mtaji ni kubwa sana chief. Ni uwekezaji mkubwa.

Ukija kwenye kutumia Jina ni Kwa ajili ya mauzo tu. Na kwenye kuuza tuna angalia faida. Na faida inapatikana baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji. Kinachobaki ndio faida. Na kwenye faida ndio mnagawana Sasa Kwa hizo asilimia. Ni nje ya mtaji na uwekezaji.

Umenipata?
 
Nashukuru Kwa kuwatoa tongotongo baadhi ya watu wanaozani ni Mali za nasibu lakin si nasibu hata bakhresa nae hufanya hvyo Kwa baadhi ya makampuni yanayoenda Kwa jina lake.
wanaodhani
 
Back
Top Bottom