Mwekezaji Shamba la VASSO afukuzwa shambani, farasi wake wawili wauawa

Mwekezaji Shamba la VASSO afukuzwa shambani, farasi wake wawili wauawa

Ndagullachrles

Senior Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
153
Reaction score
161
MWEKEZAJI kwenye Shamba la VASSO lililopo kijiji cha Dakau wilaya ya Moshi vijijini, Fons Nijenhuis(73) raia wa Uholanzi, amedai kufukuzwa kwenye shamba hilo na watu wasiojulikana huku kundi kubwa la watu likivamia makazi yake na kufanya uharibifu mkubwa wa mali pamoja na kufanya uporaji wa mali na pesa.

Mbali na uharibifu huo wa mali, watu hao pia wanadaiwa kuua farasi wake wawili pamoja na kupora fedha kiasi cha Euro elfu kumi huku akidai kuumizwa vibaya mke wake na kuiomba serikali iingilie kati kumrejesha shambani akida kuondolewa kwake hakujafuata taratibu za kisheria ikiwamo kutokupewa hati ya kusudio la kuondolewa shambani hapo.

Fons aliyeingia nchini Tanzania mwaka 1982 akitokea nchini Zambia, aliingia mkataba wa kuwekeza kwenye shamba hilo mwaka 2003 kwa mkataba wa miaka 30 na chama cha ushirika wa mazao cha Kilbosho kati kabla ya kuhuisha mkataba huo mwaka 2021 na kuurefusha hadi mwaka 2058.

Fons ambaye ni mbia kwenye shamba hilo kwa aslimia 50 huku asilimia 50 zikimilikiwa na wabia wenzake Hans Baaet na Tjerk Scheflema amezungumza na waandishi wa habari mjini moshi na kudai kitendo alichofanyiwa hakipaswi kufanya kwenye nchi kama Tanzania.

"Wamenifukuza kama takataka, huu ni unyama na haya mambo yanafanyika Zimbabwe siyo Tanzania, naomba Rais Mama Samia Suluhu Hassan aingilie kati, mimi siondoki hapa mpaka wanirudishie shamba langu", alisikika Fons akilalamika.

Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro Kiseo Nzowa amezungumza na waaandishi wa habari kuhusiana na tukio hilo na kudai anafuatilia na atalitolea Taarifa huku viongozi wa Chama cha Ushirika Kibosho kati nao wakizungumzia tukio hilo.

Mwenyekiti wa Chama hicho Fabian Mallya amesema chama hakihusiki na kufukuzwa kwa mwekezaji huyo kwenye shamba hilo lenye ukubwa wa ekari 181.13.

Nini hatima ya mgogoro katika shambo hilo?,fuatilia hapa
 

Attachments

  • FONS.JPG
    FONS.JPG
    1.1 MB · Views: 6
  • Farasi 1.jpg
    Farasi 1.jpg
    243.5 KB · Views: 5
Acha ujinga kwa hiyo hecta 181 umeona kwa mwekezaji ni nyingi sana, hao wahuni wasakwe tena kwa gharama za serikali.

Sijaongelea Muhuni asikamatwe wewe Kenge, I just explained the scenario, kwa ukubwa wa Moshi na Kibosho 181 Hc is too much kwa mtu mmoja
 
Sijaongelea Muhuni asikamatwe wewe Kenge, I just explained the scenario, kwa ukubwa wa Moshi na Kibosho 181 Hc is too much kwa mtu mmoja
mi mwenyewe nimeshangaa uwekezaji gani hapo aiswee kwa moshi si bilionea kabisa utakuta na mto unapita katikati ya shamba...
 
MWEKEZAJI kwenye Shamba la VASSO lililopo kijiji cha Dakau wilaya ya Moshi vijijini, Fons Nijenhuis(73) raia wa Uholanzi, amedai kufukuzwa kwenye shamba hilo na watu wasiojulikana huku kundi kubwa la watu likivamia makazi yake na kufanya uharibifu mkubwa wa mali pamoja na kufanya uporaji wa mali na pesa.

Mbali na uharibifu huo wa mali, watu hao pia wanadaiwa kuua farasi wake wawili pamoja na kupora fedha kiasi cha Euro elfu kumi huku akidai kuumizwa vibaya mke wake na kuiomba serikali iingilie kati kumrejesha shambani akida kuondolewa kwake hakujafuata taratibu za kisheria ikiwamo kutokupewa hati ya kusudio la kuondolewa shambani hapo.

Fons aliyeingia nchini Tanzania mwaka 1982 akitokea nchini Zambia, aliingia mkataba wa kuwekeza kwenye shamba hilo mwaka 2003 kwa mkataba wa miaka 30 na chama cha ushirika wa mazao cha Kilbosho kati kabla ya kuhuisha mkataba huo mwaka 2021 na kuurefusha hadi mwaka 2058.

Fons ambaye ni mbia kwenye shamba hilo kwa aslimia 50 huku asilimia 50 zikimilikiwa na wabia wenzake Hans Baaet na Tjerk Scheflema amezungumza na waandishi wa habari mjini moshi na kudai kitendo alichofanyiwa hakipaswi kufanya kwenye nchi kama Tanzania.

"Wamenifukuza kama takataka, huu ni unyama na haya mambo yanafanyika Zimbabwe siyo Tanzania, naomba Rais Mama Samia Suluhu Hassan aingilie kati, mimi siondoki hapa mpaka wanirudishie shamba langu", alisikika Fons akilalamika.

Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro Kiseo Nzowa amezungumza na waaandishi wa habari kuhusiana na tukio hilo na kudai anafuatilia na atalitolea Taarifa huku viongozi wa Chama cha Ushirika Kibosho kati nao wakizungumzia tukio hilo.

Mwenyekiti wa Chama hicho Fabian Mallya amesema chama hakihusiki na kufukuzwa kwa mwekezaji huyo kwenye shamba hilo lenye ukubwa wa ekari 181.13.

Nini hatima ya mgogoro katika shambo hilo?,fuatilia hapa
Wakibosho noma!!!
 
MWEKEZAJI kwenye Shamba la VASSO lililopo kijiji cha Dakau wilaya ya Moshi vijijini, Fons Nijenhuis(73) raia wa Uholanzi, amedai kufukuzwa kwenye shamba hilo na watu wasiojulikana huku kundi kubwa la watu likivamia makazi yake na kufanya uharibifu mkubwa wa mali pamoja na kufanya uporaji wa mali na pesa.

Mbali na uharibifu huo wa mali, watu hao pia wanadaiwa kuua farasi wake wawili pamoja na kupora fedha kiasi cha Euro elfu kumi huku akidai kuumizwa vibaya mke wake na kuiomba serikali iingilie kati kumrejesha shambani akida kuondolewa kwake hakujafuata taratibu za kisheria ikiwamo kutokupewa hati ya kusudio la kuondolewa shambani hapo.

Fons aliyeingia nchini Tanzania mwaka 1982 akitokea nchini Zambia, aliingia mkataba wa kuwekeza kwenye shamba hilo mwaka 2003 kwa mkataba wa miaka 30 na chama cha ushirika wa mazao cha Kilbosho kati kabla ya kuhuisha mkataba huo mwaka 2021 na kuurefusha hadi mwaka 2058.

Fons ambaye ni mbia kwenye shamba hilo kwa aslimia 50 huku asilimia 50 zikimilikiwa na wabia wenzake Hans Baaet na Tjerk Scheflema amezungumza na waandishi wa habari mjini moshi na kudai kitendo alichofanyiwa hakipaswi kufanya kwenye nchi kama Tanzania.

"Wamenifukuza kama takataka, huu ni unyama na haya mambo yanafanyika Zimbabwe siyo Tanzania, naomba Rais Mama Samia Suluhu Hassan aingilie kati, mimi siondoki hapa mpaka wanirudishie shamba langu", alisikika Fons akilalamika.

Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro Kiseo Nzowa amezungumza na waaandishi wa habari kuhusiana na tukio hilo na kudai anafuatilia na atalitolea Taarifa huku viongozi wa Chama cha Ushirika Kibosho kati nao wakizungumzia tukio hilo.

Mwenyekiti wa Chama hicho Fabian Mallya amesema chama hakihusiki na kufukuzwa kwa mwekezaji huyo kwenye shamba hilo lenye ukubwa wa ekari 181.13.

Nini hatima ya mgogoro katika shambo hilo?,fuatilia hapa
Haya mambo haya na hivi tunakaribia kipindi cha uhuru wa manyani ni shida
 
Shida itakuwa hapo kwenye uhuishaji hapo. Unakuta rushwa ilitembea na wadau muhimu hawakushirikishwa.
 
Kipindi hiko nipo shule ya msingi Kindi Juu Kibosho tukiona ndege ya huyu fogo kama sikosei ilikuwa Cessna Caravan tunaduwaa kama tumemwona Israeli mtoa roho kumbe mpaka Leo bado yupo duuh mikataba mingine inafikirisha sana. Pathetic
 
Back
Top Bottom