mkiluvya
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 809
- 729
tuwe na ngozi ngumu kama ya mamba ili hata tukikwaruzwa tusisikie maumivu kwa kuwa na sisi tuna kucha zinazowakwaruza wengineInategemea hizo lawama zinatolewa na nani na kwa mazingira gani, siyo mtu amepewa maneno ya kusema wewe bila kuchuja unayaamini.