tuwe na ngozi ngumu kama ya mamba ili hata tukikwaruzwa tusisikie maumivu kwa kuwa na sisi tuna kucha zinazowakwaruza wengineInategemea hizo lawama zinatolewa na nani na kwa mazingira gani, siyo mtu amepewa maneno ya kusema wewe bila kuchuja unayaamini.
ina manufaa gani kwa taifa, mfano unahisi Membe ni jasiri au amekosa alichokuwa anakitaka ameona atafute kwa njia nyingine?Kila mmoja atakumbukwa kwa ujasiri wa kazi yake siyo lazima wote wawe wanasiasa.
Maneno yako ni mazuri kwa Rais asiyependa kukosolewa.tuwe na ngozi ngumu kama ya mamba ili hata tukikwaruzwa tusisikie maumivu kwa kuwa na sisi tuna kucha zinazowakwaruza wengine
Kama kwako siyo jasiri kwa wengine jasiri, kwa rais wa awamu hii kumwambia sikuombi radhi inatakiwa kuwa na ujasiri wa kiasi fulani, labda ungekuwa utawala wa Kikwete sio huu.ina manufaa gani kwa taifa, mfano unahisi Membe ni jasiri au amekosa alichokuwa anakitaka ameona atafute kwa njia nyingine?
hapo ina mpa sifa gani ya kukumbukwa na taifa? si individual interest tu hizo hata ww unawezaKama kwako siyo jasiri kwa wengine jasiri, kwa rais wa awamu hii kumwambia sikuombi radhi inatakiwa kuwa na ujasiri wa kiasi fulani, labda ungekuwa utawala wa Kikwete sio huu.
Chezea ulaji wewe kesho kutwa si harakati zinaanza?Nimemhurumia sana kinana , jini walilolifuga yeye na kikwete lishatoka kwenye chupa linatafuna watoto
Nilicho muelewa mtoa Utopolo ni kwamba.Mbona ninashindwa kuunganisha Mo na hawa wengine?, hawa wote ni wanasiasa, Mo ameingiaji hapa, tafadhali dadavua kidogo.
Kwanza unatakiwa ujue kapinga nini, kwani serikali haipingwi?Sijakuelewa ulicho kiandika lbd sababu ya njaa yangu.
Kwahiyo kwako mtu anae pingana na serkali ni shujaa, sio?
Ngoja nitafute rizk ya mchana huu wenda nika muelewa.Kwanza unatakiwa ujue kapinga nini, kwani serikali haipingwi?
Huo umo ndani ya katiba kila mtu anastahili.Nafikiri kila mtu na uhuru wa kuchagua na kusimamia kile anachoona kinafaa tusiwabeze na kuwaona waoga wakati walisimamia walichoamini halmashauri mkuu
#JikingeWakingeWengine
Mmebaki wachache sana mnaoshangilia hata kwenye msiba.Mmeshanyooka miaka mitano tu bado mitano mingine vumilieni ndio dozi ya mwisho!
Kiluvya kumekupumbaza njoo mjiniNafikiri kwa utawala huu hata akiwa huko (CCM) bado kama mchafu atafichuliwa tu , hayo ya Udikteta pengine wa wivu wa pwani unakusumbua Mpwaa kama mpwaaa