Mwele, Lissu na Membe mmeonesha ujasiri. Kinana umeudhalilisha utu wako

Nimemhurumia sana Kinana , jini walilolifuga yeye na Kikwete lishatoka kwenye chupa linatafuna watoto
Noma sana hilo jini lina kisasi kama CHOTE kinana akidindiana naye anaweza KUTEMESHWA NDOANO ila JASUSI Mbobezi anamjua IN and OUT ndio maana kasema hawezi kuomba RADHi.
 
Anaogopa kurudishwa Somalia
 
“Tenda wema ili kulisaidia taifa na siyo serikali ambazo zinapita na historia itakukumbuka”.

Rest In Peace Dr. Mwele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…