Mwemba Burton (Mwijaku) alia kwa uchungu Dkt. Nawanda kubambikiwa kesi ya ulawiti, adai wazazi ndio wanaoumia

Mwemba Burton (Mwijaku) alia kwa uchungu Dkt. Nawanda kubambikiwa kesi ya ulawiti, adai wazazi ndio wanaoumia

Wakuu.

Mwijaku amwaga Chozi :KEKLEO:

Mtangazaji wa Crown Media, Mwemba Burton maarufu Mwijaku ameonyeshwa kuumizwa na kudai amekumbushwa mbali baada ya kuona Wazazi wa Dkt. Nawanda wakilia kwa uchungu, huku akishauri watu waache kubambikiana kesi ambacho zinakuja kuwaumia wengine wasiokuwa na hatia.

Pia, Soma: Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu
......tusubiri karma kwa mwijaku sijui mwajuma na Nawanda......
 
Nimesikiliza taarifa ya habari saa mbili usiku, inaonekana shida haikuwa hiyo, maana mahakama inakubali kwamba ni kweli alilawitiwa. Ila shida ilikuwa "nani aliyemlawiti?" Identification of the culprit, kwa mujibu wa ripoti ya mwandishi wa habari, ushahidi wake inasemekana haukuunganika vizuri kumtia hatiani mshitakiwa.
Binti Tumsime ni "MLAWITIWA MBOBEZI", namna mkundu ulivyotanuka ni vigumu kusema ni RC Nawanda ndiye kamuanza. Ila kama angewahi kuchkua chembe za shahawa na kuzipeleka kwenye vipimo ndipo ushahidi ungekuwa na nguvu
 
Hii beyond reasonable doubt unaipimaje!? Au ni uelewa tu wa hakimu atakavyo reason kwa akili yake mwenyewe!?
Kwa bahati mbaya sana hapo inategemea reasoning na common sense ya hakimu unless kukiwa na watertight solid proof.
Yaani mshitakiwa angeluwa 'just a simple common citizen' lazima angekula miaka katika mazingira ya hiyo kesi simply kwa kuwa kuna ushahidi solid kwamba binti amelawitiwa na anam-point jamaa.
Circumstancial evidence.
 
Binti Tumsime ni "MLAWITIWA MBOBEZI", namna mkundu ulivyotanuka ni vigumu kusema ni RC Nawanda ndiye kamuanza. Ila kama angewahi kuchkua chembe za shahawa na kuzipeleka kwenye vipimo ndipo ushahidi ungekuwa na nguvu
Nadhani ilitakiwa 1) kwamba walionekana wote wawili wakiwa kwenye gari - gari tinted au hapana? Kuna kamera za CCTV, na inaonekana mashahidi walitofautiana kusema rangi ya gari walimokuwa. 2) Mashahidi wakishatofauriana tu, inaleta shida. 3) Inategemea pia phrasing ya shitaka lenyewe. Unakumbuka ile kesi ya akina Zombe, shitaka lilivyokuwa phrased ilionekana wazi kwamba jamaa hatakutwa na hatia, maana nadhani alishtakiwa kwa mauaji wakati yeye hakuwepo mahali walipouliwa wale wafanyabiashara.
 
Wakuu.

Mwijaku amwaga Chozi :KEKLEO:

Mtangazaji wa Crown Media, Mwemba Burton maarufu Mwijaku ameonyeshwa kuumizwa na kudai amekumbushwa mbali baada ya kuona Wazazi wa Dkt. Nawanda wakilia kwa uchungu, huku akishauri watu waache kubambikiana kesi ambacho zinakuja kuwaumia wengine wasiokuwa na hatia.

Pia, Soma: Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu
A hypocrite at his finest, you don't bluff nobody with those hypocritical crocodile tears.
Ile video yako na Menina ilikuwa edited? Haukuwa wewe pale?
 
Nimesikiliza taarifa ya habari saa mbili usiku, inaonekana shida haikuwa hiyo, maana mahakama inakubali kwamba ni kweli alilawitiwa. Ila shida ilikuwa "nani aliyemlawiti?" Identification of the culprit, kwa mujibu wa ripoti ya mwandishi wa habari, ushahidi wake inasemekana haukuunganika vizuri kumtia hatiani mshitakiwa.
Sheria jamani tuziache tu kama zilivyo binti mkashindwa kwa kusema gari ya Nawanda ilikuwa nyeupe kumbe ilikuwa metallic amesema gari ilikuwa tinted! Hatari sana mwanasheria kakomalia hapo hapo kwenye gari nyeupe binti akapigwa mwereka!
 
Not guilty doesn't necessarily mean he is innocent, they just failed to prove beyond reasonable doubt kama ni yeye aliyemlawiti japo ni kweli alilawitiwa ila kalawitiwa na nani? That's a billion dollars question.
Circumstancial evidences pekee hazikutosha kumtia muhuni aliyekuwa mkuu wa mkoa hatiani, ila inaonyesha ile tigo kaila.

kesi haikuwa kuwa kaila bali kesi ilikuwa kuwa alimbaka kwa maana kaila kwa nguvu.
 
Sheria jamani tuziache tu kama zilivyo binti mkashindwa kwa kusema gari ya Nawanda ilikuwa nyeupe kumbe ilikuwa metallic amesema gari ilikuwa tinted! Hatari sana mwanasheria kakomalia hapo hapo kwenye gari nyeupe binti akapigwa mwereka!
Si unajua sheria inahusu kucheza na maneno? Ni kama logic. Nilisoma symbolic logic kama somo mwaka mmoja. Tulikuwa na mwalimu fulani Belgian mbobezi sana kwenye logic...baba...ilikuwa kazi. Mfano, unaweza kusema "hata Rais alishalitolea jambo hili ufafanuzi." Atakwambia "So what? That's a fallacy of 'argumentum ad verecundiam' (appeal to authority)". Yaani ulikuwa hupitishi sentensi kwake hajaikosoa. Hata kwa wanasheria ni vivyo hivyo. Siku moja nilikwenda kuulizia kuhusu title ya research yangu, nikakuta ofisini mkuu wa masuala ya research za LLB. Sasa nikaulizia kwa Kiswahili, yeye akajibu kwa Kiingereza. Akaanza kuniuliza maswali. Hujamaliza kujibu, ameshauliza lingine. Unajibu hilo, ameshakwenda kwa lingine, ili mradi tu wewe ushindwe. Baadaye, sijui alijifikiria nini akaanza kuongea kwa utaratibu, na akaona nilikuwa na hoja ya kuuliza nilivyouliza, na akanijibu, na hata akanisindikiza kutoka ofisini mwake.
 
Inapimwa kwa ushahidi ulitolewa kama hakuna ushahidi wa moja kwa moja kama DNA.
Ushahidi wa mashahidi unapitiwa kwa rebbutal kutoka kwa mawakili wa utetezi na cross examination ya mashahidi wa upande wa mashtaka.
Baada ya wote ku rest their cases.Ndipo Jaji au Hakimu anatoa uamuzi wake kwa mujibu wa sheria zinazohusu shauri husika.
 
Back
Top Bottom