......tusubiri karma kwa mwijaku sijui mwajuma na Nawanda......Wakuu.
Mwijaku amwaga Chozi
Mtangazaji wa Crown Media, Mwemba Burton maarufu Mwijaku ameonyeshwa kuumizwa na kudai amekumbushwa mbali baada ya kuona Wazazi wa Dkt. Nawanda wakilia kwa uchungu, huku akishauri watu waache kubambikiana kesi ambacho zinakuja kuwaumia wengine wasiokuwa na hatia.
Pia, Soma: Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu
Binti Tumsime ni "MLAWITIWA MBOBEZI", namna mkundu ulivyotanuka ni vigumu kusema ni RC Nawanda ndiye kamuanza. Ila kama angewahi kuchkua chembe za shahawa na kuzipeleka kwenye vipimo ndipo ushahidi ungekuwa na nguvuNimesikiliza taarifa ya habari saa mbili usiku, inaonekana shida haikuwa hiyo, maana mahakama inakubali kwamba ni kweli alilawitiwa. Ila shida ilikuwa "nani aliyemlawiti?" Identification of the culprit, kwa mujibu wa ripoti ya mwandishi wa habari, ushahidi wake inasemekana haukuunganika vizuri kumtia hatiani mshitakiwa.
Nlipokushuhudia wewe na hili la Mwanza nimethibitisha ila wewe naona umempenda hukutaka apate kesiHapana nilipokushuhudia wewe na hili la Mwanza nimethibitisha ila wewe naona umempenda hukutaka apate kesi
Kwa bahati mbaya sana hapo inategemea reasoning na common sense ya hakimu unless kukiwa na watertight solid proof.Hii beyond reasonable doubt unaipimaje!? Au ni uelewa tu wa hakimu atakavyo reason kwa akili yake mwenyewe!?
Nadhani ilitakiwa 1) kwamba walionekana wote wawili wakiwa kwenye gari - gari tinted au hapana? Kuna kamera za CCTV, na inaonekana mashahidi walitofautiana kusema rangi ya gari walimokuwa. 2) Mashahidi wakishatofauriana tu, inaleta shida. 3) Inategemea pia phrasing ya shitaka lenyewe. Unakumbuka ile kesi ya akina Zombe, shitaka lilivyokuwa phrased ilionekana wazi kwamba jamaa hatakutwa na hatia, maana nadhani alishtakiwa kwa mauaji wakati yeye hakuwepo mahali walipouliwa wale wafanyabiashara.Binti Tumsime ni "MLAWITIWA MBOBEZI", namna mkundu ulivyotanuka ni vigumu kusema ni RC Nawanda ndiye kamuanza. Ila kama angewahi kuchkua chembe za shahawa na kuzipeleka kwenye vipimo ndipo ushahidi ungekuwa na nguvu
A hypocrite at his finest, you don't bluff nobody with those hypocritical crocodile tears.Wakuu.
Mwijaku amwaga Chozi
Mtangazaji wa Crown Media, Mwemba Burton maarufu Mwijaku ameonyeshwa kuumizwa na kudai amekumbushwa mbali baada ya kuona Wazazi wa Dkt. Nawanda wakilia kwa uchungu, huku akishauri watu waache kubambikiana kesi ambacho zinakuja kuwaumia wengine wasiokuwa na hatia.
Pia, Soma: Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu
Sheria jamani tuziache tu kama zilivyo binti mkashindwa kwa kusema gari ya Nawanda ilikuwa nyeupe kumbe ilikuwa metallic amesema gari ilikuwa tinted! Hatari sana mwanasheria kakomalia hapo hapo kwenye gari nyeupe binti akapigwa mwereka!Nimesikiliza taarifa ya habari saa mbili usiku, inaonekana shida haikuwa hiyo, maana mahakama inakubali kwamba ni kweli alilawitiwa. Ila shida ilikuwa "nani aliyemlawiti?" Identification of the culprit, kwa mujibu wa ripoti ya mwandishi wa habari, ushahidi wake inasemekana haukuunganika vizuri kumtia hatiani mshitakiwa.
TapeliWakuu.
Mwijaku amwaga Chozi
Mtangazaji wa Crown Media, Mwemba Burton maarufu Mwijaku ameonyeshwa kuumizwa na kudai amekumbushwa mbali baada ya kuona Wazazi wa Dkt. Nawanda wakilia kwa uchungu, huku akishauri watu waache kubambikiana kesi ambacho zinakuja kuwaumia wengine wasiokuwa na hatia.
Pia, Soma: Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu
kuachiwa na mahakama haimaanishi jamaa Hajala ndogo.
Not guilty doesn't necessarily mean he is innocent, they just failed to prove beyond reasonable doubt kama ni yeye aliyemlawiti japo ni kweli alilawitiwa ila kalawitiwa na nani? That's a billion dollars question.
Circumstancial evidences pekee hazikutosha kumtia muhuni aliyekuwa mkuu wa mkoa hatiani, ila inaonyesha ile tigo kaila.
Si unajua sheria inahusu kucheza na maneno? Ni kama logic. Nilisoma symbolic logic kama somo mwaka mmoja. Tulikuwa na mwalimu fulani Belgian mbobezi sana kwenye logic...baba...ilikuwa kazi. Mfano, unaweza kusema "hata Rais alishalitolea jambo hili ufafanuzi." Atakwambia "So what? That's a fallacy of 'argumentum ad verecundiam' (appeal to authority)". Yaani ulikuwa hupitishi sentensi kwake hajaikosoa. Hata kwa wanasheria ni vivyo hivyo. Siku moja nilikwenda kuulizia kuhusu title ya research yangu, nikakuta ofisini mkuu wa masuala ya research za LLB. Sasa nikaulizia kwa Kiswahili, yeye akajibu kwa Kiingereza. Akaanza kuniuliza maswali. Hujamaliza kujibu, ameshauliza lingine. Unajibu hilo, ameshakwenda kwa lingine, ili mradi tu wewe ushindwe. Baadaye, sijui alijifikiria nini akaanza kuongea kwa utaratibu, na akaona nilikuwa na hoja ya kuuliza nilivyouliza, na akanijibu, na hata akanisindikiza kutoka ofisini mwake.Sheria jamani tuziache tu kama zilivyo binti mkashindwa kwa kusema gari ya Nawanda ilikuwa nyeupe kumbe ilikuwa metallic amesema gari ilikuwa tinted! Hatari sana mwanasheria kakomalia hapo hapo kwenye gari nyeupe binti akapigwa mwereka!
Uasherati haujawahi kumuacha kiongozi wa umma salama!kwani kesi ilikuwa ni kula ndogo au kubaka?
Haumjui huyo dogo yahya ndio maana unaropoka tuMnafiki tu huyu Mwijaku. Hajui kuwa Dr. Nawanda alipakwa tu kinyesi cha kashfa kupitia kahaba huyu?
Nilishangaa sana juzi anadai eti Mungu atalipa nikacheka sana kiasili yahya ni mfiraji waulize pale chuoni kitangariNawanda ni mfiraji shida ni ushahidi wa Tanzania ni wa hovyo kwenye keai ambazo serekali haina maslahi
Chuo cha ualim kitangari? Alikua mwalim au?Nilishangaa sana juzi anadai eti Mungu atalipa nikacheka sana kiasili yahya ni mfiraji waulize pale chuoni kitangari
Unaweza kumuacha Nawanda na binti yako kwenye gari??Niliwaambieni RC Nawanda hana kesi yeyote. Hamana mtu anaweza kuingia kwenye gari kwenye parking za Rock City akafirwa!! Halafu alakubali kuwa amefirwa kweli
Hakuwa mwalimu ila kwa wanachuo wa hapoChuo cha ualim kitangari? Alikua mwalim au?