Mwemba Burton (Mwijaku) alia kwa uchungu Dkt. Nawanda kubambikiwa kesi ya ulawiti, adai wazazi ndio wanaoumia

Sijali kama ana Kesi ama lah...ila kale kabinti kanashida kweli maana naskia kuna mtu anatumikia kifungo Jela cha miaka 30 Kwa ajili ya Kesi za hivi.

Sasa nawaza zile Mil 10 alizo Rudisha heheh
Mkuu tema mate chini hii dunia ni duara
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…