Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Welcome back bwana mdogo.... Missing u.Brother amerudi ,nimemuona muda si mrefu anapita hapa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Welcome back bwana mdogo.... Missing u.Brother amerudi ,nimemuona muda si mrefu anapita hapa....
[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]Yani mimi ndio namgundua hapa baada ya kuona hizi comments. Nimemmiss sana huyu family member...
Nimefurahi sana coz nilishajiuliza kuwa 'where is young'
Kumbe ulikuwa hujui. Nilikuwa najiuliza mbona kuna new member wengi hiviYani mimi ndio namgundua hapa baada ya kuona hizi comments. Nimemmiss sana huyu family member...
Nimefurahi sana coz nilishajiuliza kuwa 'where is young'
Nafurahi kusikia hivyo shemdarling..usinambie ulikuwa hujanikumbuka[emoji30] [emoji85]
Navutiwa na Ta-kibombo😀Sie wenye damu yakunguni hatuwazi kabisa kama tutatajwa.labda ngoja tusubr
Sasa inabidi unitambulishe kwa familia yako, naona shem darling kibao. Sitaki kuwa mshika mapembe...Hee!!! are you Old blood?
Oooh.... jamani missing you....
Mithiiiing u jamani..., missing you like crazy..
Mzima wewe? Muaaaaaah.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee.Kumbe ulikuwa hujui. Nilikuwa najiuliza mbona kuna new member wengi hivi
Join my happiness then...[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
Nakumbuka sana my friend. Naomba unisamehe kwa hili maana nimevunja ile ahadiIla tulikubaliana hatubatizwi
[emoji173]Welcome back bwana mdogo.... Missing u.
Kaenda marekani jana so na hii barid kaniruhusu bhana mdogo angu acha hizo na weweeeHahahaa....babu
@asprini yupo wapi vileee
No dear... You are the only and One...Sasa inabidi unitambulishe kwa familia yako, naona shem darling kibao. Sitaki kuwa mshika mapembe...
Kumbe kuna sweet, sweeter, na sweetest na wote wana mgao kwako eeeNo dear... You are the only and One...
Wengine ni family members..
Ni kaka zangu, dada zangu na wadogo zangu.
Huwa nina kawaida moja, nikimpenda mtu huwa napenda kumwambia kuwa 'nakupenda' na hapo moyo wangu huhisi faraja.
Wewe ndiye "my heart taker" the sweetest part of my life...
Hivi wewe huko kwenu hamuheshimu wakubwa? Au ndo familia zenu ni zile za kizazi cha kambale?Sinaga kaka mfupi kama ugali wew[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eli79 unajiona umefaidi lkn umefaidiwa mkuuSasa inabidi unitambulishe kwa familia yako, naona shem darling kibao. Sitaki kuwa mshika mapembe...
No, thank you.Kumbe kuna sweet, sweeter, na sweetest na wote wana mgao kwako eee
Hata huna aibu, mbona wanifahamu vyema nilivyo tall, ntaheshimuje mtu mfupi kama tonge????Hivi wewe huko kwenu hamuheshimu wakubwa? Au ndo familia zenu ni zile za kizazi cha kambale?
Respect to my hubby please!!
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji23] [emoji23] [emoji23]No, thank you.
Akirudi uniambieeeKaenda marekani jana so na hii barid kaniruhusu bhana mdogo angu acha hizo na weweee
Watu kama wewe ni lazima muwepo ili jamii ikamilike...Eli79 unajiona umefaidi lkn umefaidiwa mkuu
Bado kuna chain inakuja
Utachoka mwenyewe huyu namuweza mwenyewe
Cc sumbai