Tetesi: Mwendelezo wa Kununua Watumwa: Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya Kuhamia CCM

Tetesi: Mwendelezo wa Kununua Watumwa: Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya Kuhamia CCM

Status
Not open for further replies.
Yote kwa yote tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida. Kwani miamala ya manunuzi na gharama za chaguzi za marudio mzigo wote ni wetu sisi. Wanaosema demokrasia ina gharama wao wenyewe hawagharimii bali wanagharimiwa na watu masikini wa nchi hii kutokana na kodi wanazolipa. Hiki kinachofanyika sasa ni gharama za demokrasia za kijinga. Hizi siyo demokrasia wanazozihitaji watu. Bwana machafuko alishatangaza kuwa uchaguzi umekwisha sasa tuchape makazi lakini sasa badala ya kuchapa kazi inakuwa kila mwezi tunafanya chaguzi za marudio za madiwani na wabunge kwasababu wanajiuzulu kwa nyakati tofauti hivyo kila mwezi tutakuwa na chaguzi ndogo lakini ambazo zinatafuna mabilioni ya pesa za masikini wa nchi hii. Kweli kubip na kusukumizwa ni kubaya sana! Kwakuwa pesa zetu wao ndio wanaoamua matumizi yake, waweke siku maalumu yakumaliza manunuzi ili baada ya hapo uchaguzi mdogo uitishwe na ufanyike kwa siku moja na iwe marufuku kurudia chaguzi kwenye kata na majimbo ya "waliojiuzulu"
 
Eti kununuliwa!

Kama chama wabunge wake wote hao na madiwani wananunuliwa tafsiri ni kwamba ni chama mfu, na wapiga kura wasimchague yeyote toka chama hicho sababu kesho atanunuliwa.

Lakini ukweli wa mambo ni kwamba hakuna anayenunuliwa, ni kutokana na madhaifu ya ndani ya chama na mazuri ya serikali ndo mana wabunge na madiwani wanaamia huko.

Sasa hizo propaganda za kuwadanganya manyumbu hazikubaliki na walio wengi. Nyie badala ya kurekebisha mapungufu yenu mnapiga propaganda za kudanganya, haisaidii.

Endeleeni kudanganyana
Unaelewa nguvu ya pesa wewe, au unaongelea chooni?
Unalipwa pesa na ubunge unarudishiwa..then,? utakuwa mgeni nchi hii jomba
 
Kupitia magumu ndio kukomaa. Naamini baada huu msukosuko wa kununua wapinzani, baada ya hapo upinzani utakua na kukomaa zaidi. Huku mtaani ktk vijiwe mbona watu wapo against ccm sana tu, cha ajabu hata machinga waliochwa huru kufanya vyoyvyote na Pombe bado hawashawishiki na ccm. NINA IMANI, CCM NI MAITI BADO KUZIKWA TU, HATA WAO WANAJUA NDIO MAANA ZE LAST RESORT NI KUNUNUA NUNUA, YAANI PESA NDIO NGAO YAO ILIYOBAKI. LAKINI WAKUMBUKE HATA DEMU ANAWEZA KULA HELA YAKO NA KUKIMBIA. KUMBUKA UCHAGUZI WA NAIBU MEA DSM MAJUZI KATI!!
 
Kupitia magumu ndio kukomaa. Naamini baada huu msukosuko wa kununua wapinzani, baada ya hapo upinzani utakua na kukomaa zaidi. Huku mtaani ktk vijiwe mbona watu wapo against ccm sana tu, cha ajabu hata machinga waliochwa huru kufanya vyoyvyote na Pombe bado hawashawishiki na ccm. NINA IMANI, CCM NI MAITI BADO KUZIKWA TU, HATA WAO WANAJUA NDIO MAANA ZE LAST RESORT NI KUNUNUA NUNUA, YAANI PESA NDIO NGAO YAO ILIYOBAKI. LAKINI WAKUMBUKE HATA DEMU ANAWEZA KULA HELA YAKO NA KUKIMBIA. KUMBUKA UCHAGUZI WA NAIBU MEA DSM MAJUZI KATI!!
 
Hii ni mbinu inayotumika kwa wale wote wanaotumia tumbo kufikiri.Maana tumeshuhudia mbunge anaacha ubunge halafu anapewa nafasi tena ya kugombea ubunge jimbo hilohilo aliloacha.Huu ni upumbavu na plan ya kitoto kabisa inayofanywa na ccm.
 
Eti kununuliwa!

Kama chama wabunge wake wote hao na madiwani wananunuliwa tafsiri ni kwamba ni chama mfu, na wapiga kura wasimchague yeyote toka chama hicho sababu kesho atanunuliwa.

Lakini ukweli wa mambo ni kwamba hakuna anayenunuliwa, ni kutokana na madhaifu ya ndani ya chama na mazuri ya serikali ndo mana wabunge na madiwani wanaamia huko.

Sasa hizo propaganda za kuwadanganya manyumbu hazikubaliki na walio wengi. Nyie badala ya kurekebisha mapungufu yenu mnapiga propaganda za kudanganya, haisaidii.

Endeleeni kudanganyana
Ukweli wa mambo hamuwanunui??? Uongo tabia yake ni mhusika kuwa na maneno mingiiiiiii!!!!!!
 
Vipi kuhusu ule ushahidi wa Nassari kule Alumeru unauzungumziaje?
huo ushahidi umeuona au nao ni tetesi kama hizi!!..mwambieni auweke hadharani kama wamemtupia nje vielelezo vyake!..
 
Unaelewa nguvu ya pesa wewe, au unaongelea chooni?
Unalipwa pesa na ubunge unarudishiwa..then,? utakuwa mgeni nchi hii jomba
Nyie mambumbumbu ndiyo mnawapa jeuri viongozi wa upinzani matapeli!
Hivi mapungufu yao hamuyaoni? Wanaoondoka wanaeleza wazi chama kilivyo ovyo, lakini mnakaririshwa propaganda za uongo na kuzimeza!

Kama ni demokrasia angalia ndani ya chama chako, kuna demokrasia kweli!.
Kama ni udikteta angalia ndani ya chama chako, hakuna udikteta? Kama ni ufisadi angalia ndani ya chama chako, wako wazi kwenye tuhuma za ufisadi zinazoelekezwa kwao?
 
Hahahahaha Msumari huooooo!

Tungo nyingine bwana!
 
55c7a3ea47852cf45dbe28192abe1c03.jpg
 
Wananunuliwa wapi sema huko sasa hivi hakuna kitu yaani ukweli wanauona. Magu piga kazi
 
Yote kwa yote tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida. Kwani miamala ya manunuzi na gharama za chaguzi za marudio mzigo wote ni wetu sisi. Wanaosema demokrasia ina gharama wao wenyewe hawagharimii bali wanagharimiwa na watu masikini wa nchi hii kutokana na kodi wanazolipa. Hiki kinachofanyika sasa ni gharama za demokrasia za kijinga. Hizi siyo demokrasia wanazozihitaji watu. Bwana machafuko alishatangaza kuwa uchaguzi umekwisha sasa tuchape makazi lakini sasa badala ya kuchapa kazi inakuwa kila mwezi tunafanya chaguzi za marudio za madiwani na wabunge kwasababu wanajiuzulu kwa nyakati tofauti hivyo kila mwezi tutakuwa na chaguzi ndogo lakini ambazo zinatafuna mabilioni ya pesa za masikini wa nchi hii. Kweli kubip na kusukumizwa ni kubaya sana! Kwakuwa pesa zetu wao ndio wanaoamua matumizi yake, waweke siku maalumu yakumaliza manunuzi ili baada ya hapo uchaguzi mdogo uitishwe na ufanyike kwa siku moja na iwe marufuku kurudia chaguzi kwenye kata na majimbo ya "waliojiuzulu"
Umeandika vizuri sana. Wananchi wengi hawajui gharama wanabeba wao. Wazazi na watoto wao wanakosa haki za msingi sababu pesa nyingi inatumika kwenye chaguzi. Ushabiki wa vyama ushapitwa na wakati.
 
Chadema walichagua wagombea wanaonunulika 2015, inatakiwa wawaombe radhi wananchi wa maeneo hayo kwa kuwa walipaswa kuchagua wagombea wasio na tabia hizo

..sasa wanahamia ccm na kupewa nafasi ya kugombea.

..itabidi waonyeshe utendaji tofauti na uliotukuka watakapokuwa wabunge wa ccm.

..wananchi watawapima utendaji wao walipokuwa cdm na wakilinganisha na walipohamia ccm, and they better see some improvements.
 
Hili ni pigo takatifu kwa mbowe na genge lake la wakabila na upendeleo . Kuwapendelea wagombea anaowataka yeye na kuwabwaga wale walifanya kazi kubwa kukijenga Chadema.

Huu ni wakati wa wanaChadema kujiuliza kwanini haya yote yanatokea bila wao hata kujua mipango inavyopangwa. Mbona enzi ya Dr.Slaa walikuwa wanazipata siri za ndani za ccm kirahisi na wabunge wala madiwani walikuwa hawanunuliki.

Kama Luna Democracy Chadema haya na mengi yakujiuliza yapo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom