St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Hawa watakuwa wanaambiwa ama ujiunge ccm au tutakufanyia kama Lissu. Sio bure mambo haya yameanza baada ya mbunge Lissu kushambuliwa. Vyombo vya dola kuwasaidia ccm kama ndio wenye haki pekee Tanzania