Tetesi: Mwendelezo wa Kununua Watumwa: Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya Kuhamia CCM

Tetesi: Mwendelezo wa Kununua Watumwa: Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya Kuhamia CCM

Status
Not open for further replies.
Vijana wa Edo wanarudi walipotoka ...
 
Kuna siku watu wataogopa kuhama kwa style hii kwa hii mipango tunayopanga...Hili haliepukiki hivyo watanzania mtusamehe. Tuna haki ya kutoa fundisho na tutalitoa! Hawa waliohama wameonyeshwa nchi ya ahadi ila hawatafika huko.

James hatahama Chadema maana tuna taarifa zake!
 
Hii biashara ya utumwa mpaka ln.....mkoloni ccm jataki kuondoka madarakani kwa amani.
Alafu ccm nn hawajafanya kwa miaka 50 wanataka kuendelea kutawa kihunihuni?
 
Eti kununuliwa!

Kama chama wabunge wake wote hao na madiwani wananunuliwa tafsiri ni kwamba ni chama mfu, na wapiga kura wasimchague yeyote toka chama hicho sababu kesho atanunuliwa.

Lakini ukweli wa mambo ni kwamba hakuna anayenunuliwa, ni kutokana na madhaifu ya ndani ya chama na mazuri ya serikali ndo mana wabunge na madiwani wanaamia huko.

Sasa hizo propaganda za kuwadanganya manyumbu hazikubaliki na walio wengi. Nyie badala ya kurekebisha mapungufu yenu mnapiga propaganda za kudanganya, haisaidii.

Endeleeni kudanganyana

Uwe wakati mwingine unashirikisha Ubongo sio makalio tu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom