Tetesi: Mwendelezo wa Kununua Watumwa: Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya Kuhamia CCM

Status
Not open for further replies.
Hawa watakuwa wanaambiwa ama ujiunge ccm au tutakufanyia kama Lissu. Sio bure mambo haya yameanza baada ya mbunge Lissu kushambuliwa. Vyombo vya dola kuwasaidia ccm kama ndio wenye haki pekee Tanzania
 
Sasa hivi wanaitwa watumwa? Aisee hatari sana hii
 
Hilo neno mbumbumbu litumie kwa wazazi wako....
Nunueni wote, mahesabu tutafanya mwishoni....
Kwa mara ya kwanza NEC inateua wagombea ubunge bila mchakato wowote....ukiambiwa mlizaliwa na utindio wa ubongo mnacharuka!
 
Biashara hii ya kununua watu itabaki historia mbaya zaidi nchini kuliko wakati wa utumwa miaka 1880
 
Katoka kuiba Mali za umma mpaka biashara ya kununua watu kama biadhaa
 
kashaolewa duh ndoa za jinsi moja hazikubaliki!!
 
Hawa watakuwa wanaambiwa ama ujiunge ccm au tutakufanyia kama Lissu. Sio bure mambo haya yameanza baada ya mbunge Lissu kushambuliwa. Vyombo vya dola kuwasaidia ccm kama ndio wenye haki pekee Tanzania
Usikute wakawa wameupata ukweli wa Lissu kupigwa risasi
 
Nafikiri wapinzani watajifunza kutegemea watu wao badala ya makapi toka upande wa pili!

Wahenga walisema:

NGUO YA KUAZIMA HAISTIRI MAKALIO
 
Ukweli wa mambo hamuwanunui??? Uongo tabia yake ni mhusika kuwa na maneno mingiiiiiii!!!!!!
Hivi CHADEMA na Magu nani ni mtu wa maneno mingiiiiiii? Basi utakuwa ushamjua muongo!
 
Najaribi kufikiri kama kuna mwanasiasa aliyewahi kuhama kutoka upinzani kwenda ccm akafanikiwa ni wasila pekee ndiye mwenye mafanikio kama yupo mwingine mnisaidie nami nimjue.
 
Hilo neno mbumbumbu litumie kwa wazazi wako....
Nunueni wote, mahesabu tutafanya mwishoni....
Kwa mara ya kwanza NEC inateua wagombea ubunge bila mchakato wowote....ukiambiwa mlizaliwa na utindio wa ubongo mnacharuka!
Mbumbumbu siyo tusi, ni kwa wasiojielewa kama wewe!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…