Mwendokasi Mbagala ukikamilika utasababisha foleni ya kihistoria, Serikali ichukue hatua hizi mapema

Mwendokasi Mbagala ukikamilika utasababisha foleni ya kihistoria, Serikali ichukue hatua hizi mapema

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Kwanza kuna tofauti kati ya mwendokasi ya Gerezani na maeneo mengine ya Morogoro rd ba na Gerezani na Mbagala.
Mbagala kuna gari nyingi sana, afu pia njia kuu Kilwa rd ndio inayotumia kwa daladala kupakia abiria. Mfumo huu ni mbaya sana kwani unasababisha foleni kwa sababu njia ya kupita vyombo vingine vya usafiri inabaki ndogo.

Kwa sasa askari wa usalama barabarani inabidi aruhusu magari mengine kuchepukia kwenye mwendo kasi ili kuuwa foleni. Kwa sasa barabara ya mwendokasi imefungwa na mkandarasi sababu ya marekebisho foleni inaanza Rangi3 mpaka Kipati. Kufika Rangi3 unaweza kutumia saa 2 mpaka 3 kipande cha km1 tu. Nini kifanyike ili kunusuru tatizo hilo.

Serikali ijenge kutuo kitakachomeza daladala zote kama ilivyo mbezi. Yani isionekane daladala yeyote ikipakia abiria njiani. Hii italeta manufaa kwa sababu magari mengine yatapita kwa uhuru.

Kwa sababu kituo cha mwendokasi Mbagala ni kikubwa basi serikali igawanye, kuwe na stendi ya daladala, stendi ya mwendokasi na stendi ya magari ya mikoani.
Bila hivyo tutashuhudia kero baadae baada ya kukamilisha mradi.

Mbagala hakuna mipango miji itakayowezesha magari mengine kuchepuka, njia kuu ni moja tu, Kilwa rd.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu naona unatetea masilahi ya nyumbani ! Mbagala changamoto yake ni usafiri ! Iwe mwendo kasi au isiwe bado usafiri ni wa kugombania !
Na jambo la kumshukuru mkandarasi wa ile njia amepatia sana kuwawekea vituo visivyozibwa kwa vioo kama njia zingine.
Bila hivo Serikali ingepata hasara.
Tena ikiwezekana wapelekewe na mabasi yenye wavu madirishani maana wale watu wanajijua.
 
Na jambo la kumshukuru mkandarasi wa ile njia amepatia sana kuwawekea vituo visivyozibwa kwa vioo kama njia zingine.
Bila hivo Serikali ingepata hasara.
Tena ikiwezekana wapelekewe na mabasi yenye wavu madirishani maana wale watu wanajijua.
Nikajua bado ujenzi unaendelea, vioo vitawekwa
 
Kuna afisa mmoja wa mamlaka ya usafirishaji jijini dar alikuwa mmbunifu wa kuondoa kero ya usafiri dar. Alibuni njia na rangi za mabasi ya abiria jijini dar na kuondoa mkanganyika wa abiria kushushwa njiani na kulazimika kutafuta gari lingine limfikishe mwisho safari yake. Hawa maafisa wa sasa kinachotakiwa ni kuwa wabunifu kupanga magari ya abiria na vituo vyake ili kuondoa foleni kubwa barabarani. Ubunifu unahitajika
 
Japo nimezaliwa dar hapa hapa ila kwenye maisha yangu Mbagala nimefika mara moja tu. Nitajitahidi nizunguke nipaone kwa usahihi zaidi pakoje!
Mkuu hiyo hela ya kuja mbagala bora uitumie kununua nyama robo ule ! Maana mbagala shidaa kuu usafiri hata yakija hayo ma mwendo kasii kushikaa bomba itakuwa kawaidaa sana ! Alfu kingine kule foleni uhakika maana madereva wengi ni dishiii na magari yao ya kukokotaa hayachelewi kuzima au kugongana na kuleta foleni ya masaa
 
Kwanza kuna tofauti kati ya mwendokasi ya Gerezani na maeneo mengine ya Morogoro rd ba na Gerezani na Mbagala.
Mbagala kuna gari nyingi sana, afu pia njia kuu Kilwa rd ndio inayotumia kwa daladala kupakia abiria. Mfumo huu ni mbaya sana kwani unasababisha foleni kwa sababu njia ya kupita vyombo vingine vya usafiri inabaki ndogo.

Kwa sasa askari wa usalama barabarani inabidi aruhusu magari mengine kuchepukia kwenye mwendo kasi ili kuuwa foleni. Kwa sasa barabara ya mwendokasi imefungwa na mkandarasi sababu ya marekebisho foleni inaanza Rangi3 mpaka Kipati. Kufika Rangi3 unaweza kutumia saa 2 mpaka 3 kipande cha km1 tu. Nini kifanyike ili kunusuru tatizo hilo.

Serikali ijenge kutuo kitakachomeza daladala zote kama ilivyo mbezi. Yani isionekane daladala yeyote ikipakia abiria njiani. Hii italeta manufaa kwa sababu magari mengine yatapita kwa uhuru.

Kwa sababu kituo cha mwendokasi Mbagala ni kikubwa basi serikali igawanye, kuwe na stendi ya daladala, stendi ya mwendokasi na stendi ya magari ya mikoani.
Bila hivyo tutashuhudia kero baadae baada ya kukamilisha mradi.

Mbagala hakuna mipango miji itakayowezesha magari mengine kuchepuka, njia kuu ni moja tu, Kilwa rd.

Stend ya magari ya mikoani itajengwa mwandege

Pia barabara itapanuliwa njia nne hadi vikindu
 
Na jambo la kumshukuru mkandarasi wa ile njia amepatia sana kuwawekea vituo visivyozibwa kwa vioo kama njia zingine.
Bila hivo Serikali ingepata hasara.
Tena ikiwezekana wapelekewe na mabasi yenye wavu madirishani maana wale watu wanajijua.
Vioo vitawekwa mkuu bado matengenezo yanaendelea
 
Kwanza kuna tofauti kati ya mwendokasi ya Gerezani na maeneo mengine ya Morogoro rd ba na Gerezani na Mbagala.
Mbagala kuna gari nyingi sana, afu pia njia kuu Kilwa rd ndio inayotumia kwa daladala kupakia abiria. Mfumo huu ni mbaya sana kwani unasababisha foleni kwa sababu njia ya kupita vyombo vingine vya usafiri inabaki ndogo.

Kwa sasa askari wa usalama barabarani inabidi aruhusu magari mengine kuchepukia kwenye mwendo kasi ili kuuwa foleni. Kwa sasa barabara ya mwendokasi imefungwa na mkandarasi sababu ya marekebisho foleni inaanza Rangi3 mpaka Kipati. Kufika Rangi3 unaweza kutumia saa 2 mpaka 3 kipande cha km1 tu. Nini kifanyike ili kunusuru tatizo hilo.

Serikali ijenge kutuo kitakachomeza daladala zote kama ilivyo mbezi. Yani isionekane daladala yeyote ikipakia abiria njiani. Hii italeta manufaa kwa sababu magari mengine yatapita kwa uhuru.

Kwa sababu kituo cha mwendokasi Mbagala ni kikubwa basi serikali igawanye, kuwe na stendi ya daladala, stendi ya mwendokasi na stendi ya magari ya mikoani.
Bila hivyo tutashuhudia kero baadae baada ya kukamilisha mradi.

Mbagala hakuna mipango miji itakayowezesha magari mengine kuchepuka, njia kuu ni moja tu, Kilwa rd.
Bara bara iko sawa shida ni watumiaji mkuu, 1 wafanya biashara wapo mpaka bara barani unategemea nini? 2 Dala dala zitapunguzwa bada ya mwendo kasi kuwepo rejea njia zilizopitishwa mwendo kasi. 3 Serekali wenyewe mipango yao ndio mibuvu kunauwezekano mkubwa sana wakutengeneza njia mbadala zipo kusaidia kupunguza mzigo wa magari ktk njia kuu lakiniwao wameamua kukaa kimya na hatuwezi kuwa kosea. 4 Madereva wa hiyo njia wana jiamulia wanalotaka kufanya njiani bila woga na trafiki akija wanayaongea yanaisha.
Mfano kila asubuhi hapo kituo cha Mission kun gari zinatoka upande wa kulia zina lazimisha kuja kwenye kipita shoto kwa kuja kwenye njia ya wanao kwenda Mbagala badala ya kwenda kuzunguka kipati kama sheria inavyo sema na hakuna anae wakamata sasa wanasababisha kushindwa kupita kwa wenye haki kwenda mbagala, foleni inasababisha na uzembe wetu na kuwarubuni wana usalama Bara barani.
sasa hapo kosa la nani? mengi tunayafanya weneyewe kwa makusudi kabisa, bara bara inatosha kabisa kama wengi tutajali usalama na sheria za bara barani.
 
Serikali ya Tanzania majanga sana mbagala ndiko ambako kuna Idadi kubwa ya wananchi Kwa Hilo jiji Sasa utashangaa njia nyembamba ,miundo mbinu finyu
 
Back
Top Bottom