2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Kwanza kuna tofauti kati ya mwendokasi ya Gerezani na maeneo mengine ya Morogoro rd ba na Gerezani na Mbagala.
Mbagala kuna gari nyingi sana, afu pia njia kuu Kilwa rd ndio inayotumia kwa daladala kupakia abiria. Mfumo huu ni mbaya sana kwani unasababisha foleni kwa sababu njia ya kupita vyombo vingine vya usafiri inabaki ndogo.
Kwa sasa askari wa usalama barabarani inabidi aruhusu magari mengine kuchepukia kwenye mwendo kasi ili kuuwa foleni. Kwa sasa barabara ya mwendokasi imefungwa na mkandarasi sababu ya marekebisho foleni inaanza Rangi3 mpaka Kipati. Kufika Rangi3 unaweza kutumia saa 2 mpaka 3 kipande cha km1 tu. Nini kifanyike ili kunusuru tatizo hilo.
Serikali ijenge kutuo kitakachomeza daladala zote kama ilivyo mbezi. Yani isionekane daladala yeyote ikipakia abiria njiani. Hii italeta manufaa kwa sababu magari mengine yatapita kwa uhuru.
Kwa sababu kituo cha mwendokasi Mbagala ni kikubwa basi serikali igawanye, kuwe na stendi ya daladala, stendi ya mwendokasi na stendi ya magari ya mikoani.
Bila hivyo tutashuhudia kero baadae baada ya kukamilisha mradi.
Mbagala hakuna mipango miji itakayowezesha magari mengine kuchepuka, njia kuu ni moja tu, Kilwa rd.
Mbagala kuna gari nyingi sana, afu pia njia kuu Kilwa rd ndio inayotumia kwa daladala kupakia abiria. Mfumo huu ni mbaya sana kwani unasababisha foleni kwa sababu njia ya kupita vyombo vingine vya usafiri inabaki ndogo.
Kwa sasa askari wa usalama barabarani inabidi aruhusu magari mengine kuchepukia kwenye mwendo kasi ili kuuwa foleni. Kwa sasa barabara ya mwendokasi imefungwa na mkandarasi sababu ya marekebisho foleni inaanza Rangi3 mpaka Kipati. Kufika Rangi3 unaweza kutumia saa 2 mpaka 3 kipande cha km1 tu. Nini kifanyike ili kunusuru tatizo hilo.
Serikali ijenge kutuo kitakachomeza daladala zote kama ilivyo mbezi. Yani isionekane daladala yeyote ikipakia abiria njiani. Hii italeta manufaa kwa sababu magari mengine yatapita kwa uhuru.
Kwa sababu kituo cha mwendokasi Mbagala ni kikubwa basi serikali igawanye, kuwe na stendi ya daladala, stendi ya mwendokasi na stendi ya magari ya mikoani.
Bila hivyo tutashuhudia kero baadae baada ya kukamilisha mradi.
Mbagala hakuna mipango miji itakayowezesha magari mengine kuchepuka, njia kuu ni moja tu, Kilwa rd.