Mwendokasi Mbagala ukikamilika utasababisha foleni ya kihistoria, Serikali ichukue hatua hizi mapema

Mwendokasi Mbagala ukikamilika utasababisha foleni ya kihistoria, Serikali ichukue hatua hizi mapema

Stend ya magari ya mikoani itajengwa mwandege

Pia barabara itapanuliwa njia nne hadi vikindu
Siasa bhana, vikindu ni pwani, mkoa wa pwani haina hiyo hela ya kujenga mradi makubwa kama huo
 
Bara bara iko sawa shida ni watumiaji mkuu, 1 wafanya biashara wapo mpaka bara barani unategemea nini? 2 Dala dala zitapunguzwa bada ya mwendo kasi kuwepo rejea njia zilizopitishwa mwendo kasi. 3 Serekali wenyewe mipango yao ndio mibuvu kunauwezekano mkubwa sana wakutengeneza njia mbadala zipo kusaidia kupunguza mzigo wa magari ktk njia kuu lakiniwao wameamua kukaa kimya na hatuwezi kuwa kosea. 4 Madereva wa hiyo njia wana jiamulia wanalotaka kufanya njiani bila woga na trafiki akija wanayaongea yanaisha.
Mfano kila asubuhi hapo kituo cha Mission kun gari zinatoka upande wa kulia zina lazimisha kuja kwenye kipita shoto kwa kuja kwenye njia ya wanao kwenda Mbagala badala ya kwenda kuzunguka kipati kama sheria inavyo sema na hakuna anae wakamata sasa wanasababisha kushindwa kupita kwa wenye haki kwenda mbagala, foleni inasababisha na uzembe wetu na kuwarubuni wana usalama Bara barani.
sasa hapo kosa la nani? mengi tunayafanya weneyewe kwa makusudi kabisa, bara bara inatosha kabisa kama wengi tutajali usalama na sheria za bara barani.
Bado magari makubwa ya kubeba nafaka, yanasimama kushusha
 
Shida Kilwa Road ina mshikamano wa watu wengi.

Ukiikatia hapo mataa ya Uhasibu, ndo unawakuta wa Kwa Aziz, Mtongani, Kijichi, Mbagala, Chamazi, Mbande, kule mbele ya Mbande sijui kunaitwaje, bado Kongowe, na mpka kule mbele kwake ‘sijui ndio Tuangoma.

Heee jamani poleni.
 
Kwenye kugombania hapo, kwa sasa ni almost kila sehemu. Mbagala ilianza.
Hivi Dar kuna sehemu wanaingia bila kugombania? Labda huko Masaki to Masaki.

Maana hata wa Masaki kutokea Ubungo enzi hizo mie niliacha bado Ubungo ipo, walikuwa wanagombania vizuri.
Hata Mawasiliano wanagombania hao waenda mitaa ya Masaki
 
Kwanza kuna tofauti kati ya mwendokasi ya Gerezani na maeneo mengine ya Morogoro rd ba na Gerezani na Mbagala.
Mbagala kuna gari nyingi sana, afu pia njia kuu Kilwa rd ndio inayotumia kwa daladala kupakia abiria. Mfumo huu ni mbaya sana kwani unasababisha foleni kwa sababu njia ya kupita vyombo vingine vya usafiri inabaki ndogo.

Kwa sasa askari wa usalama barabarani inabidi aruhusu magari mengine kuchepukia kwenye mwendo kasi ili kuuwa foleni. Kwa sasa barabara ya mwendokasi imefungwa na mkandarasi sababu ya marekebisho foleni inaanza Rangi3 mpaka Kipati. Kufika Rangi3 unaweza kutumia saa 2 mpaka 3 kipande cha km1 tu. Nini kifanyike ili kunusuru tatizo hilo.

Serikali ijenge kutuo kitakachomeza daladala zote kama ilivyo mbezi. Yani isionekane daladala yeyote ikipakia abiria njiani. Hii italeta manufaa kwa sababu magari mengine yatapita kwa uhuru.

Kwa sababu kituo cha mwendokasi Mbagala ni kikubwa basi serikali igawanye, kuwe na stendi ya daladala, stendi ya mwendokasi na stendi ya magari ya mikoani.
Bila hivyo tutashuhudia kero baadae baada ya kukamilisha mradi.

Mbagala hakuna mipango miji itakayowezesha magari mengine kuchepuka, njia kuu ni moja tu, Kilwa rd.
Solution ni kuzijenga kwa lami feeder roads. Mfano hicho kipande cha Kipati hadi rangi 3, ile barabara ya kupitia maturubai hadi kwenye magodouni iwekwe lami, na ifike kwenye kanisa la Mwingira. Ya kijichi nayo, kuanzia KTM hadi Mbagala kuu ijengwe vizuri. Ya kutoka njia panda nzasa hadi buza kupitia kwa mpalange nayo ìkiisha itapunguza sana foleni ya rangi 3.
Kuanzishwe barabara toka maeneo ya viwanja vya Zakhemu ije itokee mitaa ya kokoto. kwa sasa kuna kiuchochoro tu, ambacho hakiruhusu kupishana
 
Hivi Dar kuna sehemu wanaingia bila kugombania? Labda huko Masaki to Masaki.

Maana hata wa Masaki kutokea Ubungo enzi hizo mie niliacha bado Ubungo ipo, walikuwa wanagombania vizuri.
Hata Mawasiliano wanagombania hao waenda mitaa ya Masaki
Unajua kwa vile Mbagala ilikuwa ya kwanza basi watu wameweka kichwani. Nenda pale red cross kwa magari ya Mwenge jioni ni hatari. Tena hao ni wale wa kugeuza nayo
 
Bara bara iko sawa shida ni watumiaji mkuu, 1 wafanya biashara wapo mpaka bara barani unategemea nini? 2 Dala dala zitapunguzwa bada ya mwendo kasi kuwepo rejea njia zilizopitishwa mwendo kasi. 3 Serekali wenyewe mipango yao ndio mibuvu kunauwezekano mkubwa sana wakutengeneza njia mbadala zipo kusaidia kupunguza mzigo wa magari ktk njia kuu lakiniwao wameamua kukaa kimya na hatuwezi kuwa kosea. 4 Madereva wa hiyo njia wana jiamulia wanalotaka kufanya njiani bila woga na trafiki akija wanayaongea yanaisha.
Mfano kila asubuhi hapo kituo cha Mission kun gari zinatoka upande wa kulia zina lazimisha kuja kwenye kipita shoto kwa kuja kwenye njia ya wanao kwenda Mbagala badala ya kwenda kuzunguka kipati kama sheria inavyo sema na hakuna anae wakamata sasa wanasababisha kushindwa kupita kwa wenye haki kwenda mbagala, foleni inasababisha na uzembe wetu na kuwarubuni wana usalama Bara barani.
sasa hapo kosa la nani? mengi tunayafanya weneyewe kwa makusudi kabisa, bara bara inatosha kabisa kama wengi tutajali usalama na sheria za bara barani.
Mbagala wanaishi uncivilised people


MTU mwenye akil yako huwezi kwenda kuishi Mbagala
 
Mbagala hakuna foleni ila foleni inasababishwa na machinga na madereva wapuuzi wanaosimamisha barabarani kupakia abiria
Yaani gari zinapakilia Barabarani
Nimeshangaa pia kuona barabara ya Mwendokasi ni chafu kupita kiasi, na ishaanza kubomolewa mule pembeni kwenye Kuta ingali bado ni mpya..
Yaani ni tofauti kabisa na Barabara ya Kimara Mbezi ambayo pia iaendelea na ujenzi.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Yaani gari zinapakilia Barabarani
Nimeshangaa pia kuona barabara ya Mwendokasi ni chafu kupita kiasi, na ishaanza kubomolewa mule pembeni kwenye Kuta ingali bado ni mpya..
Yaani ni tofauti kabisa na Barabara ya Kimara Mbezi ambayo pia iaendelea na ujenzi.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Asilimia kubwa ya watu wanaoishi mbagala hawajielewi, barabara ya mwendo kasi wanamenyea maembe wanachomea mahindi yaani tabu tupu
 
Yaani gari zinapakilia Barabarani
Nimeshangaa pia kuona barabara ya Mwendokasi ni chafu kupita kiasi, na ishaanza kubomolewa mule pembeni kwenye Kuta ingali bado ni mpya..
Yaani ni tofauti kabisa na Barabara ya Kimara Mbezi ambayo pia iaendelea na ujenzi.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Huwa nikisema Mbagala wanaishi wajinga na uncivilised watu wanakasirika. Kuna maeneo hayakupaswa kuwa sehemu ya Dar.

MTU WA uswahili Tandale ana ustaarabu kuliko MTU WA Mbagala. Wale jamaa wako kama wanyama.
 
Back
Top Bottom