Kingfish23
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 490
- 485
Umemaliza kila kituMbona kutoka mjini mpaka uhasibu hakuna foleni ya kutisha? Ni wazi madereva,bodaboda na machinga ndio tatizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza kila kituMbona kutoka mjini mpaka uhasibu hakuna foleni ya kutisha? Ni wazi madereva,bodaboda na machinga ndio tatizo.
Mbagala hakuna ustaarabu ni ushenzini tu,narudia hakuna mtu mwenye akili anaweza ishi mbagalaUnakujua Mbagala au unasimuliwa?
Hujajibu swali langu. Narudia kukuuliza, unaijua Mbagala au unasimuliwa tu?Mbagala hakuna ustaarabu ni ushenzini tu,narudia hakuna mtu mwenye akili anaweza ishi mbagala
Mimi pia nilikwenda huko mara mbili tu.Japo nimezaliwa dar hapa hapa ila kwenye maisha yangu Mbagala nimefika mara moja tu. Nitajitahidi nizunguke nipaone kwa usahihi zaidi pakoje!
Mkuu kuna magari yanayoshusha nafaka toka mikoani, nayo yanakula sana nafasi. Serikali ilitizame mapema sana bafae jangaMbagala hakuna foleni ila foleni inasababishwa na machinga na madereva wapuuzi wanaosimamisha barabarani kupakia abiria
Kwa mara ya kwanza nilikanyaga mbagala mwaka 1990 nikielekea chamazi kule uvikiwata nimeishu huko kiezi miwili pakanishinda nikaacha kodi yangu ya miezi minneHujajibu swali langu. Narudia kukuuliza, unaijua Mbagala au unasimuliwa tu?
ila kule kuna aina flani ya watu ambao hawaelewagi wala kujiongeza ukitaka kule kuwe na maendeleo inabidi serikali ishike viboko la sivyo hakuna kitakachoendelea
Hakunaga foleni Mbagala. Kule gari huwa zimapaki barabara muda wote. Ni kubayaNimepita jana huko Mbagala, kwa kweli ile foleni hapana[emoji119]
Sema kweli tunaishi Mbagala lakini binadamu aliestarabika hapaswi kuishi.Yaani gari zinapakilia Barabarani
Nimeshangaa pia kuona barabara ya Mwendokasi ni chafu kupita kiasi, na ishaanza kubomolewa mule pembeni kwenye Kuta ingali bado ni mpya..
Yaani ni tofauti kabisa na Barabara ya Kimara Mbezi ambayo pia iaendelea na ujenzi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tatizo ni wanasiasa.Asilimia kubwa ya watu wanaoishi mbagala hawajielewi, barabara ya mwendo kasi wanamenyea maembe wanachomea mahindi yaani tabu tupu
Njia yangu hio naijua vizuri sana. Sasa hivi kuna flyoverKuna siku pale Bandari panakuwa na foleni, mpaka muikamate hizo JKT 1&2 mnakuwa mmekaa haswa.
Wee na flyover.. safiiiNjia yangu hio naijua vizuri sana. Sasa hivi kuna flyover
Sasa Mbagala ya 1990 tena..!!! Hivi unaijua ubungo ya pale kijazi ya mwaka 1994 kwamba palikuwa panauzwa miche ya migomba, michungwa etc..!? Leo hii unaweza ukabisha kwamba ndo pale pa 1994Kwa mara ya kwanza nilikanyaga mbagala mwaka 1990 nikielekea chamazi kule uvikiwata nimeishu huko kiezi miwili pakanishinda nikaacha kodi yangu ya miezi minne
Nilishangaa konda ananiambia ndio tumeshafika, gari jingine pandia hapo,, yaani katikati ya barabara😂Hakunaga foleni Mbagala. Kule gari huwa zimapaki barabara muda wote. Ni kubaya
And they're are just comfortableSema kweli tunaishi Mbagala lakini binadamu aliestarabika hapaswi kuishi.
Mbagala inaongoza kwa uchafu. Barabara ya mwendokasi katikati imechafuliwa na wauza miwa, machinga na wengine.
Kwa ule uchafu kweli hawajastaarabika.Huwa nikisema Mbagala wanaishi wajinga na uncivilised watu wanakasirika. Kuna maeneo hayakupaswa kuwa sehemu ya Dar.
MTU WA uswahili Tandale ana ustaarabu kuliko MTU WA Mbagala. Wale jamaa wako kama wanyama.
Njia imeanza kukamilika. Shida ukivuka uhasibu kwenda mbele huko hawana ustaarabu ndio chanzo cha foleni.Wee na flyover.. safiii
Sijafika huko karibu mwaka wa 2
Barabara ile bado. Kuna layer za mwisho na finishing touch huo uchakavu hutauona.Kwa ule uchafu kweli hawajastaarabika.
Barabara wameichafua kiasi kile! Na wameshaanza kuichakaza lol!
Oh kumbe!Barabara ile bado. Kuna layer za mwisho na finishing touch huo uchakavu hutauona.