KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,371
Nakutajia miji katika mfanano wewe unaleta Ushindani na jufikiri kila anayepazungumzia vizuri Mbagala Basi ni MKAZI wa Mbagala .Sasa neno Mbweni Maputo kafananishe na Mbagala Chamanzi halafu uje kueleza hapi wapi Pazuri .Yani ulinganishe Mbweni na Chamazi,
Vijana WA Mbagala hizo bangi mnazovuta inabidi serikali izipige marufuku. Taifa Lina vijana wa hovyo.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Maana Mbweni Maputo ni Pachafu vibaka na Gongo hovyo hovyo Wala hutoweza fananisha na Chamanzi .