uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.
Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.
Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.
Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.
Nchi yetu inashida sana wadau.
Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.
Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.
Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.
Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.
Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.
Nchi yetu inashida sana wadau.
Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.
Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.
Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.