KERO Mwendokasi ni Changamoto zaidi ya inavyozungumzwa

KERO Mwendokasi ni Changamoto zaidi ya inavyozungumzwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
10,392
Reaction score
15,948
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.

Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.

Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.

Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.

Nchi yetu inashida sana wadau.

Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.

Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.

Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
 
Mradi ulipoanza picha picha video video kuchukua zilikuwa nyingi
Kama wanavyofanya sgr sahv
Mabaharia tunawaangalia tu ila
Kitakajo kuja kutokea huko mbele tunajuwa
Tukirudi sasa kwenye huu mwendokasi,usafiri wa mateso
Hawa udart biashara,wateja wanao lakini wanafeli 😄
Hii ni laaana au ni upmb#v tu
Wa wanaosimamia huu mradi

Ova
 
Kwani ni kipi tunachokiweza?
Tanesco. Dawasco, UDART, TRA, Mpaka Serikalini ni changamoto tu.
Wawivu, wabinafsi, walalamishi, wababaishaji, wezi na kila aina ya uchafu tunayo.
Tukiwa nje ya mifumo tunaona mapungufu ya wenzetu, tukiingia ndani tunakuwa sehemu ya huo uchafu.
Upuuzi mtupu
 
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.

Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.

Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.

Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.

Nchi yetu inashida sana wadau.

Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.

Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.

Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
Sasa ukiimgia kwenye hilo basi,ukiteremka utakuwa na mengi ya kusimulia.
 
Kwani ni kipi tunachokiweza?
Tanesco. Dawasco, UDART, TRA, Mpaka Serikalini ni changamoto tu.
Wawivu, wabinafsi, walalamishi, wababaishaji, wezi na kila aina ya uchafu tunayo.
Tukiwa nje ya mifumo tunaona mapungufu ya wenzetu, tukiingia ndani tunakuwa sehemu ya huo uchafu.
Upuuzi mtupu
Hata kuendesha mradi wa mabasi tu tumeshindwa! au pesa zilikuwa zinalipa madeni badala yakuendesha mradi?
 
Mradi ulipoanza picha picha video video kuchukua zilikuwa nyingi
Kama wanavyofanya sgr sahv
Mabaharia tunawaangalia tu ila
Kitakajo kuja kutokea huko mbele tunajuwa
Tukirudi sasa kwenye huu mwendokasi,usafiri wa mateso
Hawa udart biashara,wateja wanao lakini wanafeli 😄
Hii ni laaana au ni upmb#v tu
Wa wanaosimamia huu mradi

Ova
Watalaaniwa hawa watu wanaoshindwa vitu vidogo hivi.
 
Back
Top Bottom