KERO Mwendokasi ni Changamoto zaidi ya inavyozungumzwa

KERO Mwendokasi ni Changamoto zaidi ya inavyozungumzwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ulishajaribu mkuu?
Ila kule mwanzoni ilikuwa vizuri sana.

Naona kama mtu hajawahi kuutumia anaweza asielewe hali ilivyo kirahisi rahisi.
Mwaka huu nishapanda kama mara 3 au 4 hivi, ni kichefuchefu kwa kweli, huko nyuma ilikuwa fresh kweli, ila siku hizi ni kichefuchefu, nitapanda kama sina namna kabisa ya usafiri mwingine, naishi kigamboni bora niende mpaka machinga kuzungurukia darajani, nikiwa na usafiri binafsi ndio kabisaaaa, siendi huko hata kwa bahati mbaya...

Kwangu kuvuka kwa pantoni n kuoanda mwendokasi ni nadra mnoo, inaweza kuoita miezi mi3 au 6, nisipande.
 
Mwaka huu nishapanda kama mara 3 au 4 hivi, ni kichefuchefu kwa kweli, huko nyuma ilikuwa fresh kweli, ila siku hizi ni kichefuchefu, nitapanda kama sina namna kabisa ya usafiri mwingine, naishi kigamboni bora niende mpaka machinga kuzungurukia darajani, nikiwa na usafiri binafsi ndio kabisaaaa, siendi huko hata kwa bahati mbaya...

Kwangu kuvuka kwa pantoni n kuoanda mwendokasi ni nadra mnoo, inaweza kuoita miezi mi3 au 6, nisipande.
Oh! Means una option na Kigamboni hawako mwendokasi
 
Bora mwendokasi Ina faida ukipanda chap umefika, njoo kituo Cha stesheni upande dirishani mabasi ya mbagala
 
Hata Mimi huwa nawapa pole Sana wakazi wa KIMARA Kwa mateso yale ya kupanda kwenye bus Kwa foleni kama wafungwa.
Kero kubwa ya mwendokasi ni WAHA WA KIGOMA NA MABESENI,MAKAPU,NDOO NA MIKEKA KAMA WAKIMBIZI
 
Unaweza kuta mapato ya mwendokasi yanakwenda LUMUMBA moja kwa moja.
Tuna watawala wanao tuhujumu kila eneo.
 
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.

Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.

Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.

Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.

Nchi yetu inashida sana wadau.

Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.

Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.

Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
Kitu kinapokuwa mali ya umma hakuna anayejali. Dereva anaegesha basi kituo kikubwa kwa muda mrefu wakati watu wamejazana hapo kituoni. Yeye Hana wasiwasi mshahara wake upo. UDA ilifirisika kwa upuuzi huu huu na DART ipo njiani kufa kwa mtindo huu huu. Hatuna cha kujifunza kwa kuangalia historia na mambo yale yale yanajirudia.
 
Mradi ulianza kwa mbwembwe
Mapichapicha kibao....
Ma bus kedgeree ndani,ac,camera za bus zinafanya kazi.....selfie zilikuwa kibaooo zinapigwa
Ehh badaye mambo yakabadilika
Wanaandika kwenye mabox gerezani----moroco nkasema huu mradi kweshneyyy 😄

Sgr nayo wameanza kwa mbwembwe...humo ndani abiria
Wanakatika mauno komasava
Ila muda utaongea

Ova
 
Kwani angekuwepo Kuna mradi ungekuwa haujakamilika?
Msikufuru, kwani hakuna binaadam anayeishi milele. Kama tegemeo lilikuwa ni mtu mmoja tu, basi hata angekamilisha matatizo yote baadae matatizo hayo yangerudi tu. Hivyo hakuna execuse katika kuondoka (kifo) kwake.
 
Hata Mimi huwa nawapa pole Sana wakazi wa KIMARA Kwa mateso yale ya kupanda kwenye bus Kwa foleni kama wafungwa.
Kero kubwa ya mwendokasi ni WAHA WA KIGOMA NA MABESENI,MAKAPU,NDOO NA MIKEKA KAMA WAKIMBIZI
Aisee
 
Mradi ulianza kwa mbwembwe
Mapichapicha kibao....
Ma bus kedgeree ndani,ac,camera za bus zinafanya kazi.....selfie zilikuwa kibaooo zinapigwa
Ehh badaye mambo yakabadilika
Wanaandika kwenye mabox gerezani----moroco nkasema huu mradi kweshneyyy 😄

Sgr nayo wameanza kwa mbwembwe...humo ndani abiria
Wanakatika mauno komasava
Ila muda utaongea

Ova
SGR isifike huku aisee ni balaa
 
Mradi ulipoanza picha picha video video kuchukua zilikuwa nyingi
Kama wanavyofanya sgr sahv
Mabaharia tunawaangalia tu ila
Kitakajo kuja kutokea huko mbele tunajuwa
Tukirudi sasa kwenye huu mwendokasi,usafiri wa mateso
Hawa udart biashara,wateja wanao lakini wanafeli 😄
Hii ni laaana au ni upmb#v tu
Wa wanaosimamia huu mradi

Ova
Tuipe SGR krismasi ngapi? 😂
 
Back
Top Bottom