KERO Mwendokasi ni Changamoto zaidi ya inavyozungumzwa

KERO Mwendokasi ni Changamoto zaidi ya inavyozungumzwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mradi ulianza kwa mbwembwe
Mapichapicha kibao....
Ma bus kedgeree ndani,ac,camera za bus zinafanya kazi.....selfie zilikuwa kibaooo zinapigwa
Ehh badaye mambo yakabadilika
Wanaandika kwenye mabox gerezani----moroco nkasema huu mradi kweshneyyy 😄

Sgr nayo wameanza kwa mbwembwe...humo ndani abiria
Wanakatika mauno komasava
Ila muda utaongea

Ova
umenichekesha
 
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.

Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.

Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.

Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.

Nchi yetu inashida sana wadau.

Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.

Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.

Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
Changamoto ni Sisiemu sio kingine Mwendokasi ni sehemu tu ya madhira nengi wanayotupitisha
 
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.

Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.

Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.

Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.

Nchi yetu inashida sana wadau.

Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.

Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.

Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
Nchi imejaa wapigaji pekee
 
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.

Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.

Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.

Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.

Nchi yetu inashida sana wadau.

Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.

Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.

Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
Na Bado kwenye Sgr 😆😆

Hiyo BRT ni mradi wa kifisadi pia , gharama inazotumia kujenga hizo njia za zege ingetosha kufungua routes Mpya za Jiji na Msongamano usingekuwepo.
 
Na Bado kwenye Sgr 😆😆

Hiyo BRT ni mradi wa kifisadi pia , gharama inazotumia kujenga hizo njia za zege ingetosha kufungua routes Mpya za Jiji na Msongamano usingekuwepo.
Tunapigwa strategically
 
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.

Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.

Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.

Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.

Nchi yetu inashida sana wadau.

Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.

Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.

Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
Zzamani TRC walikuwa na mabasi yao, kwahiyo kama wangeweza hivi sasa wangenunua mabasi makubwa kwa ajili ya abiria wanaoshuka hapo kwenda sehemu zingine za jiji na miji mingine
 
Yaani wewe hata dakika 45 hazijaisha ushaanzisha thread, mwendokasi ni janga kubwa.
Mimi bado ni mpenz wa daladala tu.
 
Wanaiba tu hapo hakuna Kingine imekua sehemu rahisi ya kuiba pesa za Umma ndio maana changamoto haziishi..
 
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.

Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.

Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.

Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.

Nchi yetu inashida sana wadau.

Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.

Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.

Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
hali si hali. ni kama janga la dola tu nilidhani ni utani mpaka siku niliyokuwa natafuta dola 20, nilizunguka bila kuambulia hata dola 1. ndo nikaamini shida ni mpaka ikukute
 
hali si hali. ni kama janga la dola tu nilidhani ni utani mpaka siku niliyokuwa natafuta dola 20, nilizunguka bila kuambulia hata dola 1. ndo nikaamini shida ni mpaka ikukute
Ni kweli kabisa, hii yakusikia au kusimuliwa unaweza kufikiri ni jambo dogo au la kawaida tu.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Yaani wewe hata dakika 45 hazijaisha ushaanzisha thread, mwendokasi ni janga kubwa.
Mimi bado ni mpenz wa daladala tu.
Mjini kuelekea Kimara hakuna Daladala
 
Mjini kuelekea Kimara hakuna Daladala
Unaunga unga sio lazima usubiri mwendokasi masaa matati na kuna option kibao za usafiri, sema ndo ivo waliokariri kupanda mwendokasi ni ngumu kuwahamisha.
 
Kama mtu hutendi haki kwenye mambo yako huwezi kufanikiwa chochote... Kuna mwingine alisema action has equal and opposite reaction
 
changamoto nyengine niliyoiyona ni jinsi ya kuingia pale stend huchukua hadi nusu saa tu kuingia sababu ya daladala bora wangekua wanapita kwa nyuma kule alafu wanarudi livasi waingie kituo chao
 
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.

Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.

Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.

Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.

Nchi yetu inashida sana wadau.

Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.

Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.

Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
HU
 
Aisee, Naomba nitoe pole kwa watumiaji wa huu usafiri.

Binafsi nilikuwa najua ni changamoto kidogo tu na kuona kama vile wabongo tunapenda kulalamika, Nimenyoosha mikono leo.

Kwenye kituo kuna watu wengi sana, magari hakuna! yanayokuja yamejaa kupita kiasi.

Nimeingia kituo cha City Council (Jiji) saa 11 kasoro 15 jioni sasa ni karibia saa 12 jioni bado sijafanikiwa kupanda.

Nchi yetu inashida sana wadau.

Kuna watu wanatakiwa kuchapwa viboko hadharani, kwa hujuma ya huu mradi hii idadi kubwa hivi ya watu ni pesa yakutosha.

Huu mradi ulipaswa kuwa mfano wakuigwa as hakuna nchi iliyouweza East Africa zaidi yetu.

Ni balaa na nusu.
Poleni sana watumia Mwendokasi kwa mateso makali.
SRG nasingiziwa mimi je Mwendokasi nani mtamlaumu.
 
Back
Top Bottom