MwendoKasi Special Thread: (Mikasa na vituko vinavyojiri kwenye mabasi ya Mwendokasi)

Mambo hayo ya wazungu tulitakiwa wabongo tupewe shule kwanza
 
Juzi natoka kisutu magari ya mbezi yamejaa, nkaamua nipande hvyo hivyo, sasa ule mbanano kuna kibaba kikaanza kujisugulia kwenye matako yangu, nikigeuka anajifanya haoni
itakuwa uko vzr huko nyuma [emoji6][emoji6][emoji6]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…