MwendoKasi Special Thread: (Mikasa na vituko vinavyojiri kwenye mabasi ya Mwendokasi)

Juzi natoka kisutu magari ya mbezi yamejaa, nkaamua nipande hvyo hivyo, sasa ule mbanano kuna kibaba kikaanza kujisugulia kwenye matako yangu, nikigeuka anajifanya haoni
Anajisuguliaje sasa.?
Makalio kwa makalio au anakubambia?
 
Juzi natoka kisutu magari ya mbezi yamejaa, nkaamua nipande hvyo hivyo, sasa ule mbanano kuna kibaba kikaanza kujisugulia kwenye matako yangu, nikigeuka anajifanya haoni
Ndiyo matokeo ya kujaariwa neema za Allah mpaka unaleta mfadhaiko kwa wanaume. Hata hivyo shukuru mungu maana wengi wanaomba hizo neema na hajajaliwa kuzipata. Wameishia kutumia neema hewa za mchina.
 
Mwendokasi kero kuanzia SAA 11-1.30 jioni ukiwa Kkoo, fire au posta watu ..huwa wengi sans...wengine wanapandia magomeni na kuzunguka nayo posta au gerezani...mkiwa gerezani kila Gari imejaa..
 
Mwendokasi zinavituko sana kuna siku nilikuwa ubungo maji dereva alichapwa makofi sana na abiria wenye hasira Kali hadi aligoma endesha...hahaha

Tukio lilikuwa kama ifuatavyo abiria tumejaa kituoni magari yanakuja yanapitiliza huyu dereva yeye alikuja kwa speed kama anapitiliza alafu akasimama alipoweka gari vizuri watu wanajipanga kugombania ingia jamaa wala hakufungua milango akaondoa gari watu walipiga kelele balaa kumbe lengo lake kuwa chora abiria akasogea kidogo mpaka kwenye zebra kasimama anawaangalia watu alafu anacheka akarudisha gari alipofungua mlango tu hahaha kuna mzee wa makamo alimchapa makofi ya hatari sana jamaa alilia akagoma endesha mzee akamwambia sasa ngoja niwapigie maboss zako, ikabidi jamaa aendeshe tu kishingo upande
 
Kinachokera ni ile hali watu mnajazana watu wanatoa deadly gas,wanamajasho yani nikiwa naenda kwenye shughuli zangu asubuhi na jion huwa nawaza sana aseh kupanda aya magari
 
Katika iyo nauli ya 650 kulitakiwa kuwepo na Air condition (AC). Maana nauli ni kubwa sana na Gari inabeba zaidi ya watu 100.
 
Mwendokasi kero kuanzia SAA 11-1.30 jioni ukiwa Kkoo, fire au posta watu ..huwa wengi sans...wengine wanapandia magomeni na kuzunguka nayo posta au gerezani...mkiwa gerezani kila Gari imejaa..
Nawe zunguka nalo, mkuu
 
Duuh hatari sana mkuu.... hamna namna
 
Kinachokera ni ile hali watu mnajazana watu wanatoa deadly gas,wanamajasho yani nikiwa naenda kwenye shughuli zangu asubuhi na jion huwa nawaza sana aseh kupanda aya magari
Hata mm huwa nawaza kinyama... kero sana .... lani wake za watu wanakumbatiwa indirect kabisa
 
kitu inaitw *near field comunication*
Ila wanaume tunapata shida sana.... hasa ukiwa umevaa suruali ya kitambaa hapo ndio utaumbuka kabisa...
Ndo maana napenda kukaa pale katikati panapozunguka katika mwendo kasi
 
I like ZERO DISTANCE with a good ass strange woman! Wakati wa peak time mzigo anaubania kwako, dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…