Nauli ilitakiwa iwe 1,200/- ndio wangeendesha watu wanavyopenda. Siasa zikaingia wakaambiwa nauli ni 650/- inabidi wajiendeshe hivyo ili wasurvive.VIpi kuhusu kuendesha biashara kaa hasara kwa kigezo cha huduma bora. Sema huduma stahiki kulingana na uwezo wake sio bora
Mimi nimerelax mkuu, nilitaka tu kujua mantiki ya ww kuandika vileNimetoa paragraph nzima. Relax.
Tunazungumzia udart ambao ni bora zaidi unaleta habari za matatu daah...hao matatu wana bara bara yao kama Udart ya Dalsm?Kuna tofauti kubwa ya Tanzania na nchi nyingine zinazotuzunguka, mfano jiji la Mombasa au hata Nairobi kuna matatu za serikali, kwa sababu wana ruzuku ya serikali basi huwa zinapuyanga barabarani kila baada ya 10mins.
Unaweza kuliona matatu linakuja na ndani kuna abilia mmoja na likifika kituoni ni 30sec to minutes linaondoka haijalishi kapanda mtu au hajapanda.
Nadhani hii kitu hata ulaya ni hivyo, ila sisi UDART wanajua wanachowafanyia watanzania.
Mtachomwa motoni.Tulipata shida Matajiri kipindi cha Magufuli now days na nyinyi masikini
Kama hujatembea huwezi kuelewa so, baki hapo na udati yenu, huwezi jazana tembea kwa miguu!.Tunazungumzia udart ambao ni bora zaidi unaleta habari za matatu daah...hao matatu wana bara bara yao kama Udart ya Dalsm?
Today leo wewe unanibia mambo ya kutembea mazee....Kama hujatembea huwezi kuelewa so, baki hapo na udati yenu, huwezi jazana tembea kwa miguu!.
Unaweza kuwa umetembea karibuni dunia yote ila usielewe mkuu!.Today leo wewe unanibia mambo ya kutembea mazee....
Hakuna kitu kama hicho mkuu utembee usielewe ndio maana yake nini ?Unaweza kuwa umetembea karibuni dunia yote ila usielewe mkuu!.
Kila binadamu anatembea akiwa na makusudi yake ujue!.