Mwendokasi UDART mmefeli

Mwendokasi UDART mmefeli

VIpi kuhusu kuendesha biashara kaa hasara kwa kigezo cha huduma bora. Sema huduma stahiki kulingana na uwezo wake sio bora
Nauli ilitakiwa iwe 1,200/- ndio wangeendesha watu wanavyopenda. Siasa zikaingia wakaambiwa nauli ni 650/- inabidi wajiendeshe hivyo ili wasurvive.
 
Kuna tofauti kubwa ya Tanzania na nchi nyingine zinazotuzunguka, mfano jiji la Mombasa au hata Nairobi kuna matatu za serikali, kwa sababu wana ruzuku ya serikali basi huwa zinapuyanga barabarani kila baada ya 10mins.

Unaweza kuliona matatu linakuja na ndani kuna abilia mmoja na likifika kituoni ni 30sec to minutes linaondoka haijalishi kapanda mtu au hajapanda.

Nadhani hii kitu hata ulaya ni hivyo, ila sisi UDART wanajua wanachowafanyia watanzania.
Tunazungumzia udart ambao ni bora zaidi unaleta habari za matatu daah...hao matatu wana bara bara yao kama Udart ya Dalsm?
 
Tunazungumzia udart ambao ni bora zaidi unaleta habari za matatu daah...hao matatu wana bara bara yao kama Udart ya Dalsm?
Kama hujatembea huwezi kuelewa so, baki hapo na udati yenu, huwezi jazana tembea kwa miguu!.
 
Zile za kivukon zinavyojaza sasa,ile hatar unaweza hata kuambukizwa magonjwa.
 
Mkiwa mmebanana kama mizigo.
Mnatembea kidogo mnasimamishwa, kwamba kuna msafara. Dk 30 mmesimama.
Joto linawapiga sawasawa.
 
Back
Top Bottom