Kitondo
Member
- Jul 10, 2019
- 62
- 145
Ushauri mzuri sana.Natamani nimtage waziriSasa ivi wazungu wengi wako broke kutokana na Covid 19. Wizara inabidi i freeze tozo zote wanazotozwa watalii ili waendelee kuja for the sake ya hotels na ajira zingine.
Otherwise mtu akiwa na hela ya kupanda ndege na kuweza kukodi gari la kwenda mbugani, aje.. Mambo ya vitu kama Viza, iwe free for the next three months mpaka utalii utakapo peak up.