Mwenendo wa utalii nchini: Waziri Kigwangalla aonyesha kukata tamaa

Mwenendo wa utalii nchini: Waziri Kigwangalla aonyesha kukata tamaa

Kwahio mnafurahia na kushangilia kwamba sekta ya utalii inaangamia
Hakuna anae furahia. Ia ni kwamba watalii hawawezi kuweka maisha yao rehani. Ina julikana dunia nzima kwamba tuki fanya siri kwenye janga la corona. Hakuna mtu mwenye pesa na akili azilete mahali ambapo hana uhakika na maisha yake.

Kwa session hii Tanzania ita pitwa na mataifa yate yaliyo kuwa wazi kwenye kudeal na hili janga..
 
Utalii Kwa sasa,hakuna Taifa lenye unafuu katika secta hiyo, kidooogo angalau hata kwetu kuna videge vinakuwa vinashuka KIA, la sivyo no kumwonea tu Kigwa

Kaa kimya huna ujualo. Utalii tunaujua ndani nje, hizo propaganda mfu ziishie kwenye Siasa ya kuwa ccm inakubalika, maana wanaweza kutumia vyombo vya dola kutangaza matokeo wayatakayo. Kwenye utalii ni facts tu ndio zinarindima. Hakuna utalii wowote wa maana mpaka ifike December, tena nayo itategemea.
 
Kaa kimya huna ujualo. Utalii tunaujua ndani nje, hizo propaganda mfu ziishie kwenye Siasa ya kuwa ccm inakubalika, maana wanaweza kutumia vyombo vya dola kutangaza matokeo wayatakayo. Kwenye utalii ni facts tu ndio zinarindima. Hakuna utalii wowote wa maana mpaka ifike December, tena nayo itategemea.
Mkuu, au Kwa kuwa ni weekend watu Asubuhi Asubuhi mshafanya yenu, au umekosea kuni quote?

Sina hakika Kwa nilichoandika kama kinaendana na ulichosema hapa
 
Kwahio mnafurahia na kushangilia kwamba sekta ya utalii inaangamia
Mkuu kwa mtu mwenye maono hawezi kushangilia,sana sana wapo watu wenye upeo wa mambo kuwa juhudi za kuleta watalii kipindi hiki siyo sahihi.

Kwani nchi watokapo watalii bado wako kwenye tahadhari kubwa. Hawawezi kuja kwetu,mazingira siyo rafiki.Hadi watakapo tengeneza taratibu rafiki na salama kusafiri nje ya nchi zao.
 
Tatizo Ni kujiamini bila effort ya maana. Tunasubiri kuona wale wageni
 
hapana, nadhani mnafurahia kichinichini na ndio nchi ambayo mmezaliwa humu ba bado mwaendelea kuishi humu, mana kutuma picha ya mheshimiwa waziri kwamba amekata tamaa hio ni kejeli na matokeo ya kejeli ni furaha kwa anayekejeliwa, yani mlikua mnaomba usiku na mchana wizara ya utalii ishindwe kwa sababu zenu kwamba serikali imekataa kutoa takwimu za covid 19.
Yani hapo 'unadhani' tu kwamba wanafurahia chini chini umeshuka essay yote hiyo! Je ukiwa na uhakika?
 
Mkuu, au Kwa kuwa ni weekend watu Asubuhi Asubuhi mshafanya yenu, au umekosea kuni quote?

Sina hakika Kwa nilichoandika kama kinaendana na ulichosema hapa

Umesema kwetu utalii kidogo una nafuu maana vindege vinashuka Kia. Nimekuambia hakuna mtalii yoyote wa maana, na kama ni utalii huo wangalau wa kuridhisha basi ni December. Haya unayosikia hivi sasa ni propaganda mfu tu
 
Naanza kumuelewa Pascal Mayalla kuhusu Twitter!
Kwa taarifa yako tu, ni kwamba Kigwangala ndiye amejipost.
Screenshot_20200606-135255_Chrome.jpg
 
Ninyi mna chuki zenu tu,niko hapa Karatu tokea jana ijumaa nkitokea Masai Mara-Kenya niliko kaa siku 6,kwa suala la wageni naona sura nyeupe zmeanza kuonekana tofauti na kwa majirani,hakika ikiendelea hivi Kuna tumaini kubwa,Leo tokea asubuhi magari ya watarii Kama 31 yaweza kuwa yamepita kuelekea mbugani,sijui kwingine
 
Ninyi mna chuki zenu tu,niko hapa Karatu tokea jana ijumaa nkitokea Masai Mara-Kenya niliko kaa siku 6,kwa suala la wageni naona sura nyeupe zmeanza kuonekana tofauti na kwa majirani,hakika ikiendelea hivi Kuna tumaini kubwa,Leo tokea asubuhi magari ya watarii Kama 31 yaweza kuwa yamepita kuelekea mbugani,sijui kwingine
Mkuu, achana na NYUMBU za mikumi, haziwezi kujielewa na haitatokea kujielewa,
 
Ninyi mna chuki zenu tu,niko hapa Karatu tokea jana ijumaa nkitokea Masai Mara-Kenya niliko kaa siku 6,kwa suala la wageni naona sura nyeupe zmeanza kuonekana tofauti na kwa majirani,hakika ikiendelea hivi Kuna tumaini kubwa,Leo tokea asubuhi magari ya watarii Kama 31 yaweza kuwa yamepita kuelekea mbugani,sijui kwingine
Kwahiyo unabishana na waziri wako ambaye ana data zote au?
 
Sasa ivi wazungu wengi wako broke kutokana na Covid 19.
Wizara inabidi i freeze tozo zote wanazotozwa watalii ili waendelee kuja for the sake ya hotels na ajira zingine.. Otherwise mtu akiwa na hela ya kupanda ndege na kuweza kukodi gari la kwenda mbugani, aje.. Mambo ya vitu kama Viza, iwe free for the next three months mpaka utalii utakapo peak up.
Hakuna mwenye hiyo akili kwenye utawala huu
 
Nyie MATAGA mkipewa mbinu ya kupambana na majanga makubwa mnaleta jeuri na kibri siyo?
Haya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.

View attachment 1469976

Halafu na nyie watu wa I.T ndiyo nini kutujazia mazagazaga hivyo mezani? Hamjui kuwa yanaonekana kwenye video?
View attachment 1469977
Naona ile sehemu ya kuweka cable HDMI wamewwka VGA na ile sehemu ya AV wameweka flash
 
Mpuuzi wewe, unaendelea kushabikia ujinga NYUMBU wewe, kwenu kunawaliokufa ama wapo walio na Corona?, Unataka namba iwe kubwa kutoka wapi ikiwa wewe Huna maambukizi,

Ukimwi umeua watu wengi, kwa kwakuwa yeye hajafa hivyo namba ya waliokufa au kupata ukimwi sio kubwa? Acha utoto dogo.
 
Back
Top Bottom