Mwenendo wa utalii nchini: Waziri Kigwangalla aonyesha kukata tamaa

Mwenendo wa utalii nchini: Waziri Kigwangalla aonyesha kukata tamaa

Mtoto mkaidi unamuacha tu wala huna haja ya kufurahia matokeo ya ukaidi wake.
hapana, nadhani mnafurahia kichinichini na ndio nchi ambayo mmezaliwa humu ba bado mwaendelea kuishi humu.

Maana kutuma picha ya mheshimiwa waziri kwamba amekata tamaa hio ni kejeli na matokeo ya kejeli ni furaha kwa anayekejeliwa, yani mlikua mnaomba usiku na mchana wizara ya utalii ishindwe kwa sababu zenu kwamba serikali imekataa kutoa takwimu za covid 19.
 
Hilo si tatizo. Tatizo ni mmaficha ukweli
Sasa ivi wazungu wengi wako broke kutokana na Covid 19.
Wizara inabidi i freeze tozo zote wanazotozwa watalii ili waendelee kuja for the sake ya hotels na ajira zingine.. Otherwise mtu akiwa na hela ya kupanda ndege na kuweza kukodi gari la kwenda mbugani, aje.. Mambo ya vitu kama Viza, iwe free for the next three months mpaka utalii utakapo peak up.
 
Actually utalii ni leisure na siyo hitaji la muhimu sana kwa watalii kwa wakati huu ambao shidaa hii haijaisha. Tafiti za makampuni ya utalii wanasema hii secta itakuwa kimya lau kwa miezi kama 18 hivi hadi hali itakaPo tulia au ipatikane chanjo au dawa soo ni janga kubwa sana kwa sasa duniani kote.

Sisi tuko kwa utalii na almost 90% ya staff wameachishwa kazi. Na camps zote kuanzia ruaha, selous hadi serengeti na ngorongoro zimefungwa manake hatuna bookings. So in short hii kitu itachukua muda sana kurejea na ikumbukwe siyo kila ndege inayo kuja tanzania imeleta watu anakuja kwa ajili ya utalii
 
Huyu hana hadhi ya kuwa Waziri ni kilaza sana sana, hana maturity na hana wisdom kbsa, kapewa level ambayo hakupaswa kuwa nayo, hafai hata kuwa naibu Waziri, Upumbavu mtupu, Mbona Rais haoni haya nchi hii tunadharaurika kisa mautopolo Kama hawa. Viongozi hawaelewi neno integrity!?
Mteuzi wao ndiyo tatizo, mteuzi anayetambua nafasi yake hawezi kuwa na watu kama kina kigwangala na Mwigulu tu kwenye Baraza lake la mawaziri.
 
We inaonekana una chuki binafsi na Kigwangala

Huyu haina haja ya chuki nakubali maoni yako, ifike mwisho viongozi kuziaibisha nyazifa zao. Kiongozi unakata tamaa kwenye vita ambavyo asilimia kubwa wanapigana wasaidizi wako huu ni usaliti wa kiutendaji.
 
Mteuzi wao ndiyo tatizo, mteuzi anayetambua nafasi yake hawezi kuwa na watu kama kina kigwangala na Mwigulu tu kwenye Baraza lake la mawaziri.

Mwigulu anamzidi huyo na sio level yake, mwigulu does his own politics isn't real hasa kwenye mnayoyaona mapungufu yake
 
Huyu haina haja ya chuki nakubali maoni yako, ifike mwisho viongozi kuziaibisha nyazifa zao. Kiongozi unakata tamaa kwenye vita ambavyo asilimia kubwa wanapigana wasaidizi wako huu ni usaliti wa kiutendaji.
Waache propaganda mfu za kudanganya watu kwenye tv eti kuna watalii wamekuja kwa ndege wakati flight karibu zote duniani zimefungwa.

Dunia iko kwenye janga kubwa namna hii lakini wao wako busy kudanganya wananchi as if wakidanganya mapato yataongezeka.

Serikali zinazoishi kwa propaganda mfu namna hii huwa zimejaa mbumbumbu na wasiyo na maarifa yoyote yakuikwambua nchi kutoka kwenye matatizo.
 
Nyie MATAGA mkipewa mbinu ya kupambana na majanga makubwa mnaleta jeuri na kibri siyo?
Haya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.

View attachment 1469976

Halafu na nyie watu wa I.T ndiyo nini kutujazia mazagazaga hivyo mezani? Hamjui kuwa yanaonekana kwenye video?
View attachment 1469977
Na wewe uwe unajiongeza kidogo, kwani kuna nchi Duniani muda huu inaweza kusema kuwa inafanya vizuri kwenye kupokea watalii wa nje?!
 
Back
Top Bottom