Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
It's matter of time,all in all kila kitu kitakaa sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu. HAWA ZERO BRAIN WANASEMA TANZANIA NZIMA INA WAGONJWA 4 TU...UONGO KAMA HUU HATA MWANANGU WA DARASA LA KWANZA B HAWEZI KUAMINI SEMBUSE WAZUNGU!Hakuna jinsi tourism itarudi mapema. Bora tungekubali yaishe. Tutaje namba hata za uongo afu tuzipunguze. Tungeaminika
Waache propaganda mfu za kudanganya watu kwenye tv eti kuna watalii wamekuja kwa ndege wakati flight karibu zote duniani zimefungwa.
Dunia iko kwenye janga kubwa namna hii lakini wao wako busy kudanganya wananchi as if wakidanganya mapato yataongezeka.
Serikali zinazoishi kwa propaganda mfu namna hii huwa zimejaa mbumbumbu na wasiyo na maarifa yoyote yakuikwambua nchi kutoka kwenye matatizo.
Naanza kumuelewa Pascal Mayalla kuhusu Twitter!
Mwenzio anawasanifu wamarekani wanavyong'ang'ania kuwa hospitali zimejaa wagonjwa wa coronaHaya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.
bado hujawalewa WHO kuhusu TZ kuficha takwimu za muumbukizi ya Covid -19 ??Naanza kumuelewa Pascal Mayalla kuhusu Twitter!
hahahah hiyo midege unayozungumzia labda unamaanisha mbayu-wayu.Mwenzio anawasanifu wamarekani wanavyong'ang'ania kuwa hospitali zimejaa wagonjwa wa corona
Atakata tamaa vipi wakati midege inapisha kia kumwaga watalii
Chadema mlianzisha dawati la kukusanya data za Covid 19 sijui mliishia wapi?!bado hujawalewa WHO kuhusu TZ kuficha takwimu za muumbukizi ya Covid -19 ??
Huo ni mto wenye mamba wengi, NYUMBU tumieni akiri,MATAGA umejibu kinyonge kama vile mtu anayebanwa mbupu na prize
Mpuuzi wewe, unaendelea kushabikia ujinga NYUMBU wewe, kwenu kunawaliokufa ama wapo walio na Corona?, Unataka namba iwe kubwa kutoka wapi ikiwa wewe Huna maambukizi,Kweli mkuu. HAWA ZERO BRAIN WANASEMA TANZANIA NZIMA INA WAGONJWA 4 TU...UONGO KAMA HUU HATA MWANANGU WA DARASA LA KWANZA B HAWEZI KUAMINI SEMBUSE WAZUNGU!
Pole sanaHuo ni mto wenye mamba wengi, NYUMBU tumieni akiri,
bado hujawalewa WHO kuhusu TZ kuficha takwimu za muumbukizi ya Covid -19 ??Chadema mlianzisha dawati la kukusanya data za Covid 19 sijui mliishia wapi?!
Wanala kuweza basi! Kelele nyiiingi mwishowe kutimuana kama NYUMBUChadema mlianzisha dawati la kukusanya data za Covid 19 sijui mliishia wapi?!
Mimi sioni kosa la waziri biashara ya Utalii ita pick up pole pole huwezi kutegemea kesho watalii wajae Tanzania dunia siyo Tanzania peke yake kuna nchi zingine pia zinaangalia soko hilo hilo.Nyie MATAGA mkipewa mbinu ya kupambana na majanga makubwa mnaleta jeuri na kibri siyo?
Haya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.
View attachment 1469976
Halafu na nyie watu wa I.T ndiyo nini kutujazia mazagazaga hivyo mezani? Hamjui kuwa yanaonekana kwenye video?
View attachment 1469977
Hapo kama una masaa ya holiday yaliyobakiDada umenena viongozi mapimbi hawaelewi parameters za biashara ,
Sasa wana fungua utalii wakati operators hawana booking hata moja. Hotel hazina booking wana tuonyesha maigizo ati watalii wame ingia.. Tanzania tuna ongoza kwa maigizo.Kingwangala awasikilize watu wa TATO wale ndio ma expert ukijifanya mjuaji lazima ukwame