Mwenendo wa utalii nchini: Waziri Kigwangalla aonyesha kukata tamaa

Mwenendo wa utalii nchini: Waziri Kigwangalla aonyesha kukata tamaa

Mkuu, achana na NYUMBU za mikumi, haziwezi kujielewa na haitatokea kujielewa,

Ww ndio wale malimbukeni ukisikia neno hapa mjini na ww unalirudiarudia ili uonekane wa mjini. Hilo neno nyumbu umelisikia na ww unalirudiarudia ili uonekane unaenda na fashion! Lakini ukiangalia pointi zako unaona kabisa ni bendera fuata upepo, na huna lolote ujualo?
 
Sasa ivi wazungu wengi wako broke kutokana na Covid 19. Wizara inabidi i freeze tozo zote wanazotozwa watalii ili waendelee kuja for the sake ya hotels na ajira zingine.

Otherwise mtu akiwa na hela ya kupanda ndege na kuweza kukodi gari la kwenda mbugani, aje.. Mambo ya vitu kama Viza, iwe free for the next three months mpaka utalii utakapo peak up.

Watalii wanaokwenda Serengeti na Ngorongoro hawako broke mkuu, hizo ni hadithi za paka na panya. Kama una ushahidi tuwekee hapa.
 
Nyie MATAGA mkipewa mbinu ya kupambana na majanga makubwa mnaleta jeuri na kibri siyo?
Haya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.

View attachment 1469976

Halafu na nyie watu wa I.T ndiyo nini kutujazia mazagazaga hivyo mezani? Hamjui kuwa yanaonekana kwenye video?
View attachment 1469977
Ngoja Kwanza nimalizie kuicheki hiyo screen ya Ofisini
 
Chadema mikoa ya Kilimanjaro , Arusha na manyara mjiandae kupigwa chini hiyo mikoa inategemea utalii kuishi Sasa Kama mnadharau juhudi za waziri kufufua utalii hayo maeneo wapiga kura wenu biashara ziamuke siyo kesi uchaguzi ukifika CCM tutav.alia bango kuwa Sababu ya utalii kudorora Ni chadema

serikali ya CCM tuna promote Sana mpate pesa lakini chadema wanatoa negative reports msipige pesa
 
Watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja "Biashara ya Utalii sio kitu kinacholeta Faida kwa Nchi husika tuu,la hasha!"
Kwa Wakuu mnaofahamu sector hii mtakua mnajua Travel Agent,Ikiwa 90% ya watalii wote wanakuja kupitia Travel Agent basi ina maana mtalii anaanza kuacha hela kwao kwanza kabla ya kufika nchi husika...hapo hapo kuna Ajira,nk.
Secta ya anga inategemea utalii kwa kiasi kikubwa,leo hii mashirika makubwa ya ndege yako chini,Bei ya mafuta imepungua na uzalishwaji umepunguzwa..ili mashirika haya yainuke ni lazima Utalii Uamshwe....
Tusije tukajidanganya kwamba ni sisi tuu ndo wenye Kiu ya hyo pesa ya utalii ,Hata wao Wataimiza Wananchi wao Wafanye Spending ili kodi ipatikane,Na utalii ni spending inayoaminika kuwapa faraja watu wa Magharibi pindi watokapo kwenye matatizo.
Km unajua majira ya mwaka ya ulaya Utagundua ni Summer ndio iko mbioni kuingia na hapo huwa na joto kali sana,na msimu wa joto ni kitu cha kitamaduni kusafiri,na pia kutafuta ahueni ya ubaridi.
Wakuu it is matter of time Kigwangalla atakula mavuno yake...ulaya wanafungua mipaka yake 16/6...
 
Ww ndio wale malimbukeni ukisikia neno hapa mjini na ww unalirudiarudia ili uonekane wa mjini. Hilo neno nyumbu umelisikia na ww unalirudiarudia ili uonekane unaenda na fashion! Lakini ukiangalia pointi zako unaona kabisa ni bendera fuata upepo, na huna lolote ujualo?
Kwani na wewe ni nyumbu?
Na unadhani pia kuishi mjini ndio fashion?
Mkuu, lakini ni kama unaheshima zako Sana hapa, ningependa nikuheshimu kama unavyojiheshimu wewe mkuu
 
Tatizo sio watalii kuja hapa tatizo unarudije nchini mwako ? Hayo makarantini sio ya mchezo
 
Nyie MATAGA mkipewa mbinu ya kupambana na majanga makubwa mnaleta jeuri na kibri siyo?
Haya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.

View attachment 1469976

Halafu na nyie watu wa I.T ndiyo nini kutujazia mazagazaga hivyo mezani? Hamjui kuwa yanaonekana kwenye video?
View attachment 1469977
Daaah Mzee wa Tallest Mountain ana asili ya uchafu kama Mange Kimambi alivyokuwa anasema ,ona nyumba yake ilivyo hovyo hovyo midevu mvi kibao!!!
 
Nyie MATAGA mkipewa mbinu ya kupambana na majanga makubwa mnaleta jeuri na kibri siyo?
Haya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.

View attachment 1469976

Halafu na nyie watu wa I.T ndiyo nini kutujazia mazagazaga hivyo mezani? Hamjui kuwa yanaonekana kwenye video?
View attachment 1469977
Inashangaza kidogo hawa watu wapo dunia ya wapi!

Mtu msomi kiasi hiki, tena katika fani hiyo hiyo ya magonjwa hata asiweze kutambua dunia inakwenda vipi?

Mtalii gani anayeweza kuja hapa kwa anasa tu tena akijua nchi yenyewe haipo wazi katika mambo haya ya magonjwa?

Yeye anadhani 'propaganda' za kijinga zinazofanywa hapa zitawalaghai watu wenye uelewa mpana?

Watalii hawalazimishwi kuja hapa. Wanakuja kwa matakwa yao wenyewe. Hawataki kuja kuweka rehani maisha yao kama ya waTanzania yalivyowekwa rehani kwa lazima eti ili kulinda uchumi usiporomoke!

Uchumi utaachaje kuporomoka kama dunia nzima imetikiswa na huu ugonjwa? Tanzania itajenga uchumi wake bila kuyategemea mataifa mengine? Mbona sasa tunalilia watalii! Wao nchi zao uchumi ukiharibika, wao wataendelea tu kutaka kuja Tanzania?
 
Sasa ivi wazungu wengi wako broke kutokana na Covid 19. Wizara inabidi i freeze tozo zote wanazotozwa watalii ili waendelee kuja for the sake ya hotels na ajira zingine.

Otherwise mtu akiwa na hela ya kupanda ndege na kuweza kukodi gari la kwenda mbugani, aje.. Mambo ya vitu kama Viza, iwe free for the next three months mpaka utalii utakapo peak up.
Hawataki kutumia akili.
Wana assume kuwa corona ilikuja tz tu
 
Sifa moja ya hospitlaity industry wachilia mbali ya kuwa ni intangible bali pia ni FRAGILE. Yes ni FRAGILE ikiwa na maana ya kuwa mteja anabadilika kama kinyonga ukimzinguwa kwa huduma mbovu. Mteja ana control ya maamuzi na sio wewe service provider.
 
Huyu Kigwa ana hirizi.. Hata sijui kwanini hajatumbuliwa!?
 
hapana, nadhani mnafurahia kichinichini na ndio nchi ambayo mmezaliwa humu ba bado mwaendelea kuishi humu.

Maana kutuma picha ya mheshimiwa waziri kwamba amekata tamaa hio ni kejeli na matokeo ya kejeli ni furaha kwa anayekejeliwa, yani mlikua mnaomba usiku na mchana wizara ya utalii ishindwe kwa sababu zenu kwamba serikali imekataa kutoa takwimu za covid 19.
Acha kurukaruka, tulia dawa ikuingie. Wia oni ze raiti traki
 
Chadema mikoa ya Kilimanjaro , Arusha na manyara mjiandae kupigwa chini hiyo mikoa inategemea utalii kuishi Sasa Kama mnadharau juhudi za waziri kufufua utalii hayo maeneo wapiga kura wenu biashara ziamuke siyo kesi uchaguzi ukifika CCM tutav.alia bango kuwa Sababu ya utalii kudorora Ni chadema serikali ya CCN tuna promote Sana mpate pesa lakini chadema wanatoa negative reports msipige pesa
Mkuu kunywa maji then usome tena ulicho andika, narudia tena, kuwa matanga siyo tiketi ya kuwa kichaa
 
Watanzania na Viongozi wetu once wakitambua tourism is not a basic need, watajua ni jinsi gani ya kuendeleza utalii wetu.
 
Actually utalii ni leisure na siyo hitaji la muhimu sana kwa watalii kwa wakati huu ambao shidaa hii haijaisha. Tafiti za makampuni ya utalii wanasema hii secta itakuwa kimya lau kwa miezi kama 18 hivi hadi hali itakaPo tulia au ipatikane chanjo au dawa soo ni janga kubwa sana kwa sasa duniani kote.

Sisi tuko kwa utalii na almost 90% ya staff wameachishwa kazi. Na camps zote kuanzia ruaha, selous hadi serengeti na ngorongoro zimefungwa manake hatuna bookings. So in short hii kitu itachukua muda sana kurejea na ikumbukwe siyo kila ndege inayo kuja tanzania imeleta watu anakuja kwa ajili ya utalii
Point
 
hapana, nadhani mnafurahia kichinichini na ndio nchi ambayo mmezaliwa humu ba bado mwaendelea kuishi humu.

Maana kutuma picha ya mheshimiwa waziri kwamba amekata tamaa hio ni kejeli na matokeo ya kejeli ni furaha kwa anayekejeliwa, yani mlikua mnaomba usiku na mchana wizara ya utalii ishindwe kwa sababu zenu kwamba serikali imekataa kutoa takwimu za covid 19.



Haiwezekani tuishi ubepari na inafahamika ni zama za ubepari halafu ubabe na maamuzi ya kijamaa ndio ue utamaduni zama hizi, lazima serikali ijitune sambamba na taswira ya ubepari, ujamaa ulishakufa tumebaki na ule wa humanity na dini na undugu au ujirani, ukibadirika muundo badilika na akili. Tuongeze akili ya kusema ukweli unaokubalika kuliko akili ya kunena uongo huku unadharaurika na kupuuzwa, siku hizi kusifu tunatumia nguvu zaidi kuliko wakosoaji, na sura zinazosifu sauti hazitoki tumboni na huzuni imetawala hizo sura, unafiki wa kusifia huwezi kudanganya Mungu alituweza sana huwezi kufake ukiwa na njaa au hasira at least 50% wataelewa unajipendekeza. Popularity is always gained through wise and smart methods.
 
Back
Top Bottom