as long as wanamsaidia ku cement ukatili wake, na wao wakiwa makatili waliokubuhu, basi atawateua
 
namuuliza Samia, huu ushungi anauvaa ni kumuenzi Mungu na kutii amri ake au danganya toto? Huwezi kuwa mshika dini wa ushungi kama alama ya kushika dini, ukawa rais mkatili kiasi hiki
 
utabiri wangu nafasi hii iko wazi kwa aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa mwanza.
 
Kupitia hizi ramli za social media ndio mnazidi kumuharibia Kikeke. Maana hata kama kulikuwa na dhamira ya kumpa chochote kile inabidi waghairishe kuepuka kuonekana siri za ndani zinavuja kabla.
 
Mbona yatakua masihala
 
Atafaa sana
 
Kwanza nianze kumshukuru Mama kwa kuwa sasa ni asubuhi
Pili naunga mkono hoja
 
Wamtafute hata mtoto wa Iddi Amin au mtoto wa Osama. Wakishindwa wakamkodi hata Hamas mmoja aje awe mwenezi.
 
Dotto Magari kashakula Teuzi huko, sio huyo Mwijaku wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…