CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa umeelewa, ungekuwa ujaelewa usingekosoa kwahiyo hacha unafiki au ulikuwa wataka nafasi hiyo wewe nini mbona unawashwa asubuh hii,itakua ulisoma TEKU weweUmezariwa❌
Umezaliwa ✅
Jifunze kuandika Kwanza.
Anaenda kuharibu cv yake alioitengeneza kwa muda mrefu sasaKama kichwa kinavyojieleza na pia makada ambao wanajisifu watoto wa mama ambao wapo Lumumba leo wanaenda mpigia magoti bosi mpya SALIM KIKEKE ambaye ndiye anaenda kuwa muenezi wa CCM.
Mnaobaki endeleeni kusema mama anaupiga mwingi kongole sana KIKEKE
Na kweli kwenda CCM ni kuharibu CV kabisaAnaenda kuharibu cv yake alioitengeneza kwa muda mrefu sasa
Hacha❌Kikubwa umeelewa, ungekuwa ujaelewa usingekosoa kwahiyo hacha unafiki au ulikuwa wataka nafasi hiyo wewe nini mbona unawashwa asubuh hii,itakua ulisoma TEKU wewe
Muache mtu ya Congo kiswahili ni shida mwingine!Umezariwa❌
Umezaliwa ✅
Jifunze kuandika Kwanza.
Makonda ana tofauti gani na Sabaya??"From the mouth of which river.......!!????" Over my dead body!
Makada ambao wanajisifu watoto wa mama ambao wapo Lumumba leo wanaenda mpigia magoti bosi mpya SALIM KIKEKE ambaye ndiye anaenda kuwa Mwenezi wa CCM.
Mnaobaki endeleeni kusema mama anaupiga mwingi kongole sana KIKEKE
Yaani Nape alitosha pamoja na uwezo wake mdogo ndio KKK asiweze?Yaan pamoja na umaarufu Salim Kikeke hawezi kua Mwenezi wa CCM sababu hio nafasi hamtoshi ni kubwa mno kwake kubwa sana hatoshi hata kidogo
Katibu mwenezi lazima awe mtu ambaye hazipo sawa kidogo kichwani bila hivyo atashindwa kazi yake.Makada ambao wanajisifu watoto wa mama ambao wapo Lumumba leo wanaenda mpigia magoti bosi mpya SALIM KIKEKE ambaye ndiye anaenda kuwa Mwenezi wa CCM.
Mnaobaki endeleeni kusema mama anaupiga mwingi kongole sana KIKEKE
Ni kweli Katibu mwenezi CCM lazima awe mtu hazipo sawa sana kichwani na asiwe mtu mstaarabu.Hii ndio habari inayotrend kwa sasa, makada kadhaa wa CCM wanasema kwa namna siasa za sasa zinavyokwenda bila kupata chawa mwenye wafuasi wengi mitandaoni na mwenye uwezo wa kujitoa ufahamu kumsifia mama Samia huku akiwananga watu wengine wote wenye mwelekeo tofauti na Mama Samia basi hali itaendelea kuwa mbaya na kila mara atatafutwa mtu wa kushika nafasi ya katibu mwenezi wa CCM taifa. Bila kupepesa macho, jina la Mwijaku ndio likapewa nafasi kubwa zaidi.
Hii ni zamu ya chawa kutafuna fursa za taifa kwa kilemba cha CCM.
Ccm inaenda kujifukia taratibuHii ndio habari inayotrend kwa sasa, makada kadhaa wa CCM wanasema kwa namna siasa za sasa zinavyokwenda bila kupata chawa mwenye wafuasi wengi mitandaoni na mwenye uwezo wa kujitoa ufahamu kumsifia mama Samia huku akiwananga watu wengine wote wenye mwelekeo tofauti na Mama Samia basi hali itaendelea kuwa mbaya na kila mara atatafutwa mtu wa kushika nafasi ya katibu mwenezi wa CCM taifa. Bila kupepesa macho, jina la Mwijaku ndio likapewa nafasi kubwa zaidi.
Hii ni zamu ya chawa kutafuna fursa za taifa kwa kilemba cha CCM.
Anawafaaa kuliko yule jamaaHii ndio habari inayotrend kwa sasa, makada kadhaa wa CCM wanasema kwa namna siasa za sasa zinavyokwenda bila kupata chawa mwenye wafuasi wengi mitandaoni na mwenye uwezo wa kujitoa ufahamu kumsifia mama Samia huku akiwananga watu wengine wote wenye mwelekeo tofauti na Mama Samia basi hali itaendelea kuwa mbaya na kila mara atatafutwa mtu wa kushika nafasi ya katibu mwenezi wa CCM taifa. Bila kupepesa macho, jina la Mwijaku ndio likapewa nafasi kubwa zaidi.
Hii ni zamu ya chawa kutafuna fursa za taifa kwa kilemba cha CCM.