Mwenezi CCM kupatikana 03/04/2024; Nani anafaa kurithi mikoba ya Makonda?
Ili kukivuta Kizazi kipya Chamani ni lazima Katibu wetu wa Itikadi na Uenezi awe na Mvuto wa Asili siyo wa Mchongo

Mlale Unono [emoji3][emoji3]
Kama kigezo pekee ni mvuto basi Diamond Platinum atawafaa. Lakini ukipanua wigo wa vigezo vya kiutumishi basi Ally Happy atakuwa ni chaguo bora.
 
Ili kukivuta Kizazi kipya Chamani ni lazima Katibu wetu wa Itikadi na Uenezi awe na Mvuto wa Asili siyo wa Mchongo

Mlale Unono 😀😀

Kufanya kazi na watu wa Pwani tena mama siyo rahisi. Yaani kila unalosema ni lazima litafsiriwe. Si unajua tena Pwani mwanamke akivaa kanga akapita mtaani wenzake wanasoma maneno ya kanga na wanadai kuwa amewalenga. Topical mwanamke wa Pwani.

Ni Sawa na kinachoendelea kwa sasa yaani kila neno linatafsiriwa. Kila ulimi unapoteleza wanadhani umemaanisha. Ndiyo maana Wenezi hawakai. Imagine in three years Wenezi watakuwa watano. Wengine wameondolewa kwa maneno yao siyo uwezo. Ukitoka kidogo tu nje ya mstari unalimwa. Sidhani kama kwa sasa kuna mtu wanatamani kuzipata hiyo nafasi kwa sasa.
 
Ili kukivuta Kizazi kipya Chamani ni lazima Katibu wetu wa Itikadi na Uenezi awe na Mvuto wa Asili siyo wa Mchongo

Mlale Unono 😀😀
Kama Makonda aliyekuwa na mvuto hajakubalika, unadhani nani atakubalika wakati unajua "Bosi wa sasa hataki kuzidiwa umaarufu"!
Wateule wake wote wamepooza kama maandazi ya mhogo yaliyolala (namaanisha kiporo cha maandazi ya mhogo).
 
Kilichomoza Makonda ni ku abuse one of the laws of power!

NEVER OUTSHINE THE MASTER.

Makonda alizidi kujizolea umaarufu huko mikoani mpaka kufika hatua ya kutaka kuwazidi mabwana (ma-boss) wake/zake.

Don't do it too much. Fanya lakini usizidishe kutaka kumzidi yule anayekupa ugali
 
Kuombea mwizi apate mbinu nzuri za kukuibia ni jambo litakaloushangaza sana ulimwengu.Kanuni za maisha (baadhi)zinatuasa;-
-ukizijua mbinu anazotumia muongo/mwizi kukusumbua,hautakiwi kumuonesha kwamba unazijua,
-muongo mpe chai ya bakuli(la bati) apate kusema yote.
Hao wote ni maadui.Unaaswa kupambana nao kwa akili/hekima kubwa.
 
Huyu atakuwa katibu mwenezi wa ngapi toka bimama awe top? Seriously, amefeli.
 
Ili kukivuta Kizazi kipya Chamani ni lazima Katibu wetu wa Itikadi na Uenezi awe na Mvuto wa Asili siyo wa Mchongo

Mlale Unono 😀😀
Yaani tumuombee shetani azidi kutamba wewe utakuwa Kuni za kuwachomea wenye dhambi mbinguni huko
 
Hii ndio habari inayotrend kwa sasa.

Makada kadhaa wa CCM wanasema kwa namna siasa za sasa zinavyokwenda bila kupata chawa mwenye wafuasi wengi mitandaoni na mwenye uwezo wa kujitoa ufahamu kumsifia mama Samia huku akiwananga watu wengine wote wenye mwelekeo tofauti na Mama Samia basi hali itaendelea kuwa mbaya na kila mara atatafutwa mtu wa kushika nafasi ya Katibu Mwenezi wa CCM taifa.

Bila kupepesa macho, jina la Mwijaku ndio likapewa nafasi kubwa zaidi.

Hii ni zamu ya chawa kutafuna fursa za taifa kwa kilemba cha CCM.
 
Naunga mkono hoja, Mwijaku anastahili nafasi hiyo.
 
Hii ndio habari inayotrend kwa sasa, makada kadhaa wa CCM wanasema kwa namna siasa za sasa zinavyokwenda bila kupata chawa mwenye wafuasi wengi mitandaoni na mwenye uwezo wa kujitoa ufahamu kumsifia mama Samia huku akiwananga watu wengine wote wenye mwelekeo tofauti na Mama Samia basi hali itaendelea kuwa mbaya na kila mara atatafutwa mtu wa kushika nafasi ya katibu mwenezi wa CCM taifa. Bila kupepesa macho, jina la Mwijaku ndio likapewa nafasi kubwa zaidi.

Hii ni zamu ya chawa kutafuna fursa za taifa kwa kilemba cha CCM.
Nawaunga mkono wanaohoji.
 
Acheni kuwafanya watu wajinga. Mlimpa Makonda kwa mbwembwe Leo yapo wapi?
 
Back
Top Bottom