mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
War-who-knee 😅🤣Kwa hiyo tujiandae kwa ajili ya shule ya uongozi?
Vipi kuhusu sera yake ya kataa war-who-knee?
Duh 🙄 !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
War-who-knee 😅🤣Kwa hiyo tujiandae kwa ajili ya shule ya uongozi?
Vipi kuhusu sera yake ya kataa war-who-knee?
Makolo FC 😂😂Kwahiyo atakuwa anaienezea wapi?
good idea,Namtazama Jokate kama mtu anayetosha na anayefaa kuwa Katibu wa NEC itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Kwa sababu zifuatazo:
Kwanza, ni mtu aliyetulia kimaamuzi.
Pili, ana ushawishi wa kutosha kwenye jamii Kwa makundi yote.
Tatu, ana uwezo wa kuhamasisha makundi mbalimbali.
Nne, ameonesha uwezo wa juu pote alipokuwa na hata Sasa akiwa Katibu mkuu wa UWT.
Tano, ili kuleta uwiano wa kijinsia Kwa wajumbe wa sekretarieti ya CCM ni vema nafasi ya unaibu Katibu mkuu wa CCM au ukatibu wa NEC itikadi na uenezi akapewa mwanamke. Na hapa namuona Jokate.
Tafadhali NEC pitisheni jina la Jokate kwenye hiyo nafasi ,anafaa na anatosha.
Unataka Katibu mkuu wa UWT azungumzie masuala ya kina nani zaid ya wanawake wenzake?Hayo ni maoni yako na mimi ya kwangu nasema hawezi kisa kuandaa lile tukio la wanawake na kusema kura wapigie wanawake sio wanaume ndio ushawishi mpaka hapo keshafeli!
Hiyo dhana yake imeshajengeka korogwe alikua akitatua kero za waja wazito ndio tiketi iliyombeba kumpeleka uwt!Unataka Katibu mkuu wa UWT azungumzie masuala ya kina nani zaid ya wanawake wenzake?
Jokate ni mhamasishaji mzuri na anaweza kujaza uwanja wa TaifaWakitaka kuona amna kitu palę wampe ziara waone kama anaweza jaza watu hata 1000 kwenye mkutano wake. Hakuna uwezo wowote wa ushawishi zaidi kubebwa tu.
Public speaking skills zenyewe hana, nani wa kufunga safari kwenda kumsikiliza bila ya kujaziwa umati, hata hao CCM hawana ma lorry ya kujaza uwanja wa taifa.Jokate ni mhamasishaji mzuri na anaweza kujaza uwanja wa Taifa