Mwenezi CCM kupatikana 03/04/2024; Nani anafaa kurithi mikoba ya Makonda?
Namtazama Jokate kama mtu anayetosha na anayefaa kuwa Katibu wa NEC itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Kwa sababu zifuatazo:

Kwanza, ni mtu aliyetulia kimaamuzi.

Pili, ana ushawishi wa kutosha kwenye jamii Kwa makundi yote.

Tatu, ana uwezo wa kuhamasisha makundi mbalimbali.

Nne, ameonesha uwezo wa juu pote alipokuwa na hata Sasa akiwa Katibu mkuu wa UWT.

Tano, ili kuleta uwiano wa kijinsia Kwa wajumbe wa sekretarieti ya CCM ni vema nafasi ya unaibu Katibu mkuu wa CCM au ukatibu wa NEC itikadi na uenezi akapewa mwanamke. Na hapa namuona Jokate.

Tafadhali NEC pitisheni jina la Jokate kwenye hiyo nafasi ,anafaa na anatosha.
Hana akili huyo!!! Jidanganyeni mtajuta
 
Namtazama Jokate kama mtu anayetosha na anayefaa kuwa Katibu wa NEC itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Kwa sababu zifuatazo:

Kwanza, ni mtu aliyetulia kimaamuzi.

Pili, ana ushawishi wa kutosha kwenye jamii Kwa makundi yote.

Tatu, ana uwezo wa kuhamasisha makundi mbalimbali.

Nne, ameonesha uwezo wa juu pote alipokuwa na hata Sasa akiwa Katibu mkuu wa UWT.

Tano, ili kuleta uwiano wa kijinsia Kwa wajumbe wa sekretarieti ya CCM ni vema nafasi ya unaibu Katibu mkuu wa CCM au ukatibu wa NEC itikadi na uenezi akapewa mwanamke. Na hapa namuona Jokate.

Tafadhali NEC pitisheni jina la Jokate kwenye hiyo nafasi ,anafaa na anatosha.
Acha wenye ccm yao waamue,kiherehere wala sii mpango,uchawa tunaukataa rasmi🤣.Nyie ndio sababu yakutuletea watu mbofu mbofu😔
 
Hayawi hayawi yamekuwa Kama Paulo Makonda karudishwa pamoja na yote aliyoyafanya Wakati wa UTAWALA KATILI kupata kutokea wa MWENDAZAKE kwanini SABAYA nae ASILAMBE TEUZI?

Ni wazi CCM haijali Mambo mabaya yaliyotendwa na Makada wake kwa WANANCHI bado inawateua kushika nafasi mbalimbali kwenye CHAMA na SERIKALI.

Kutokana na CCM kutokujali ni wazi TUTARAJIE SABAYA pamoja na kuwadhurumu fedha wafanyabiashara huko Arusha naamini kwa UTAWALA HUU Atalamba TEUZI na kuwa KATIBU wa ITIKADI.

Kila la Heri SABAYA
 
Miye nakwambia katiba ikiwa mbovu mambo yatakuwa hovyo, na katiba ikiwa nzuri mambo yatakuwa mazuri. Sasa sijui tuko wapi?
 
Sasa ikiwa mtu ambaye amedhulumu watu na kuwatendea mabaya wananchi anateuliwa ninyi sindomnapaswa kufurahia sababu ccm watakuwa wamekosea hivyo itakuwa ni kete nzuri ya nyie kuwashawishi wananchi wasiwachague CCM.

Sasa inakuwaje nyie tena muwapangie CCM watu wachezaji wa kucheza na kuwapangia number hadi sub za kufanya wakati ni wapinzani wenu?
 
"From the mouth of which river?" Over my dead body!
 
Back
Top Bottom