Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mambo ya hovyo kabisaFukuza timua achisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya hovyo kabisaFukuza timua achisha
Huyu si alikua Cuf, atakua je muenezi wa chama kikongwe vccm maanake imeshindwa kazi ya kulea na kukuza viongozi wake kutoka chama.Taarifa inayotembea kwa Kasi Lumumba ndio hiyo kwamba David Kafulila ndiye atakayependekezwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM
Ngoja tuone
aka Tumbiri [emoji23][emoji23][emoji91]
Apewe tu kama walivyopewa wakina shaibu akilombwe!Taarifa inayotembea kwa Kasi Lumumba ndio hiyo kwamba David Kafulila ndiye atakayependekezwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM
Ngoja tuone
aka Tumbiri 😂😂🔥
Mbona Polepole alikuwa Chadema? 🐼😂Huyu si alikua Cuf, atakua je muenezi wa chama kikongwe vccm maanake imeshindwa kazi ya kulea na kukuza viongozi wake kutoka chama.
Kafulila ndiyo yule tumbili aliyeporwaTaarifa inayotembea kwa Kasi Lumumba ndio hiyo kwamba David Kafulila ndiye atakayependekezwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM
Ngoja tuone
aka Tumbiri [emoji23][emoji23][emoji91]
CCM, ina chipukizi wake waliolelewa kichama wakafunzwa taratibu za chama, wakakulia humo, tusiokote okote!Taarifa inayotembea kwa Kasi Lumumba ndio hiyo kwamba David Kafulila ndiye atakayependekezwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM
Ngoja tuone
aka Tumbiri 😂😂🔥
Kufulila hajawahi kuwa CUFHuyu si alikua Cuf, atakua je muenezi wa chama kikongwe vccm maanake imeshindwa kazi ya kulea na kukuza viongozi wake kutoka chama.
Yohana Mbatizaji na wewe umezidi kwa tetesi!Taarifa inayotembea kwa Kasi Lumumba ndio hiyo kwamba David Kafulila ndiye atakayependekezwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM
Ngoja tuone
aka Tumbiri 😂😂🔥
Mwisho wa tetesi ni kesho bwashee Hapa anatajwa hadi Shilole 😂😂Yohana Mbatizaji na wewe umezidi kwa tetesi!
Mara Paschal Mayala, mara Tumbili sasa yupi ni yupi Mkuu?!
Bashiru naye alikuwa CUFCCM, ina chipukizi wake waliolelewa kichama wakafunzwa taratibu za chama, wakakulia humo, tusiokote okote!
Unafahamu kuwa aliyekuwa Katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi enzi za Magufuli ,Dr.Bashiru alikuwa CUF ?Huyu si alikua Cuf, atakua je muenezi wa chama kikongwe vccm maanake imeshindwa kazi ya kulea na kukuza viongozi wake kutoka chama.
Kisiasa haiwezekani. Ana itikadi ya kisiasa na kiuchumi tofauti kabisa na SSH na inner circle ya SSH. HP ni mjamaa mchanganyiko. SSH ni pure capitalist.I predict, Balozi Polepole naona atarudi kwenye nafasi yake ya Katibu Mwenezi
Ni Mwamvita Naniliu 🐼