Matulanya Mputa
JF-Expert Member
- Aug 14, 2023
- 245
- 655
Chama cha mapinduzi CCM ndani ya miaka minne ya Samia wamebadili makatibu wenezi karibu watatu.
Imefika hatua leo waanza kutafuta makatibu wenezi kwa tochi tena mchana, chama ambacho kinajinasibu kina viongozi makini, vijana makini leo wakumuwaza Mwijaku kweli?Wakumuwaza Dotto magari kweli?
Vijana wa Lumumba mjitafakari ambao mnajiita CCM kindakindaki leo hamna sifa ya kupewa uenezi jambo la aibu sana mkiambiwa CCM imefilisika kimawazo mnapinga.
Hiyo haitoshi mpaka mnawaza tena kupangua wakuu wa mikoa waje kushika hiyo nafasi wakati mnavijana wengi.
SIna mengi ila HONGERA SALIM KIKEKE KWA KWENDA KUTEULIWA KUWA KATIBU MUENEZI CCM
Imefika hatua leo waanza kutafuta makatibu wenezi kwa tochi tena mchana, chama ambacho kinajinasibu kina viongozi makini, vijana makini leo wakumuwaza Mwijaku kweli?Wakumuwaza Dotto magari kweli?
Vijana wa Lumumba mjitafakari ambao mnajiita CCM kindakindaki leo hamna sifa ya kupewa uenezi jambo la aibu sana mkiambiwa CCM imefilisika kimawazo mnapinga.
Hiyo haitoshi mpaka mnawaza tena kupangua wakuu wa mikoa waje kushika hiyo nafasi wakati mnavijana wengi.
SIna mengi ila HONGERA SALIM KIKEKE KWA KWENDA KUTEULIWA KUWA KATIBU MUENEZI CCM