Halmashauri kuu ya CCM itakutana tarehe 03/04/2024 jijini DSM ambapo pamoja na mambo mengine itapitisha jina la Mwenezi mpya wa CCM
Source: Mwanahalisi Digital
Mlale Unono 😀😀
Nimeona sehemu kuwa Katibu mkuu ameenda kumsalimia nyumbani kwake Dar es SalaamUsambara wanasubiri kwa hamu watu wazuri hawafi!
Vipi anapewa Amos Makala au anapewa yule Dr mdungaji wa sindano?Halmashauri kuu ya CCM itakutana tarehe 03/04/2024 jijini DSM ambapo pamoja na mambo mengine itapitisha jina la Mwenezi mpya wa CCM
Source: Mwanahalisi Digital
Mlale Unono 😀😀
Hatari sana!Nimeona sehemu kuwa Katibu mkuu ameenda kumsalimia nyumbani kwake Dar es Salaam
Basi tu ujinga umejaa ccm ,ila Makongoro Nyerere, alifaa ndani ya ccm kuwa makam mwenyekiti , katibu mkuu au mwenezi, shida ccm imetekwa na wahuni , matokeo yake wanamtupa huko kwenye ukuu wa mkoa hata Ndugu yangu Mtaka ni type ambazo hazistahili kua ngazi za mkoaHalmashauri kuu ya CCM itakutana tarehe 03/04/2024 jijini DSM ambapo pamoja na mambo mengine itapitisha jina la Mwenezi mpya wa CCM
Source: Mwanahalisi Digital
Mlale Unono 😀😀
Lucas MwashambwaAmos Makalla
Anna TibaijukaAmbaruty
Non of the above. Kikwete jakaya ndo anafaa kuwa mweneziAlly Happy
Amos Makala
Albert Chalamila
Kwa vyovyote vile, jina la mwenezi mpya litaanza na "A"
Maza iwe kwenye chama serikalini anajifunza kuteua kila siku hajui hata anafanya niniHalmashauri kuu ya CCM itakutana tarehe 03/04/2024 jijini DSM ambapo pamoja na mambo mengine itapitisha jina la Mwenezi mpya wa CCM
Source: Mwanahalisi Digital
Mlale Unono 😀😀
Upo sahihi kabisa ni maigizo tupuHaya nayaona kuwa ni maigizo, halmashauri inajadili na kupitisha mteuliwa, lakini wakati wa kutengua hawaitwi kujadili wala kushirikishwa. Haya ni matumizi mabaya ya rasilimali, lakini pia ni hadaa kwa wananchi.
Huyu huyu mwenye uwezo wa kutengua bila kushirikisha halmashauri na ateue tu bila usanii wa kuisumbua halmashauri
Naungana na wewe hapoAnaiweza hiyo ila CPL Makalla hamna kitu.
Fukuza timua achishaTeua tengua hamisha
Kumtoa chalamila dar litakuwa kosa kubwa sana la kiufundi pamoja na kwamba atakuwa kapanda cheoAlly Happy
Amos Makala
Albert Chalamila
Kwa vyovyote vile, jina la mwenezi mpya litaanza na "A"
Ana mabaya yake aliyo yafanya makonda wala hakuwa msafi ni kama alivyo kuwa magufuli tuu,ila ni watu walio weza kutumia ujinga wa watanzania vizur sanaInaelekea mabwanyenye wa GMS ndio wanapanga viongozi sasa. Safari hii sijui wameshawasikia wale waarabu wa gsm. Inaonekana kama mabwanyenye wengine na fisadi wapigaji hawakufurahi na uteuzi wa makonda hivyo kuagiza afukuzwe mara moja toka cheo chochote. Mama kumpa u RC wamekasirika hivyo kumzushia kesi mahakamani hata bila ya kuheshimi kwamba yeye ni. RC mteule. Hakika nchi inashikwa na mafioso wa kila aina kwa kasi kubwa. Magufuli Rip.