Mwenezi Shaka kuongoza iftar maalum ya mayatima na wajane kuadhimisha mwaka mmoja wa Rais Samia

Mwenezi Shaka kuongoza iftar maalum ya mayatima na wajane kuadhimisha mwaka mmoja wa Rais Samia

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
MWENEZI SHAKA HAMDU SHAKA KUONGOZA IFTAR MAALUM YA MAYATIMA NA WAJANE KUADHIMISHA MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA.

Leo Jumapili Aprili 03, 2022 Kuanzia Majira ya Saa 10:30 Jioni hii, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka ataongoza Iftar Maalum ya Kuadhimisha Mwaka Mmoja wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Pamoja na kumuombea Dua ili Mwenyezimungu aendelee kumuwezesha kuwatumikia na kuwaunganisha Watanzania.

Iftar hii Maalum itafanyika Jijini Dodoma katika Ukumbi wa PSSF Ghorofa ya 5.

IMG-20220403-WA0045.jpg
 
MWENEZI SHAKA HAMDU SHAKA KUONGOZA IFTAR MAALUM YA MAYATIMA NA WAJANE KUADHIMISHA MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA.

Leo Jumapili Aprili 03, 2022 Kuanzia Majira ya Saa 10:30 Jioni hii, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka ataongoza Iftar Maalum ya Kuadhimisha Mwaka Mmoja wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Pamoja na kumuombea Dua ili Mwenyezimungu aendelee kumuwezesha kuwatumikia na kuwaunganisha Watanzania.

Iftar hii Maalum itafanyika Jijini Dodoma katika Ukumbi wa PSSF Ghorofa ya 5.

View attachment 2174197
Ama kweli taifa limepatikana madhimisho mwezi mzima! Huu upumbavu utauona Tanzania tu!
 
Kuadhimisha Mwaka Mmoja wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Pamoja na kumuombea Dua ili Mwenyezimungu aendelee kumuwezesha kuwatumikia na kuwaunganisha Watanzania

Mwezi mtukufu wa Ramadhan

Maulana Sheikh Hemed Jalala : Hili Jambo la Kuwatumikia watu, ni ibada kubwa kabisa.
 
Ili ufaidi awamu hii, inabidi ubadilishe jina lifanane na majina ya wenzetu wa upande wa pili....😂
Mie nimeanza rasmi kujiita Abdurahmani...😎
 
Ili ufaidi awamu hii, inabidi ubadilishe jina lifanane na majina ya wenzetu wa upande wa pili....😂
Mie nimeanza rasmi kujiita Abdurahmani...😎
Isumaili hapa bin twambombo nakuunga mguu yakhe😁
 
MWENEZI SHAKA HAMDU SHAKA KUONGOZA IFTAR MAALUM YA MAYATIMA NA WAJANE KUADHIMISHA MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA.

Leo Jumapili Aprili 03, 2022 Kuanzia Majira ya Saa 10:30 Jioni hii, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka ataongoza Iftar Maalum ya Kuadhimisha Mwaka Mmoja wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Pamoja na kumuombea Dua ili Mwenyezimungu aendelee kumuwezesha kuwatumikia na kuwaunganisha Watanzania.

Iftar hii Maalum itafanyika Jijini Dodoma katika Ukumbi wa PSSF Ghorofa ya 5.

View attachment 2174197
Uyatima mwisho miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom