Mwenge, Dar: Mapambano ya Polisi na Wamachinga. Mabomu ya machozi yatembezwa

Mwenge, Dar: Mapambano ya Polisi na Wamachinga. Mabomu ya machozi yatembezwa

Polisi wanapiga mabomu ya machozi muda huu hapa Mwenge. Wanapambana na Wamachinga ambao wanajihami kwa mawe.

Chanzo cha vurugu ni kwamba wamachinga wanagoma kuondoka maeneo waliyoamuriwa kutoka na kwenda kwenye eneo walilopangiwa katika barabara ya kwenda Cocacola

Nguvu kubwa inatumika. Hekima itumike
Ila apo walipo usalama ni mdogo wakubali kua kila kitu kimekaa kimipango pia
 
Watu wa dar,tunawategemea mlete mabadiliko ya kiharakati hapa nchini. Kama ulivyo utaratibu kwamba mambo mengi huanzia dar ndio yanasambaa nchi nzima basis na hilo LA maandamano mlifanye kwa bidii sana....
Dar inaongoza kula mapato ya mikoa mingine maana kila kitu kizuri hupelekwa dar.
Dar inaongoza kuwa na lower class wengi
Dar inaongoza kwa maraha yote.
Dar inaongoza kwa uchafu nchi nzima
Dar inaongoza kwa joto nchi nzima
Dar inaongoza kupokea wahamiaji kutoka kigoma
Dar inaongoza kwenye uzinzi
Dar inaongoza kuwa na viongozi wengi wa serikali
Dar inaongoza kuwa na pisi za kila aina..
Kwa maana hiyo....Dar iongoze kwa maandamano ya amani.
 
Watu wa dar,tunawategemea mlete mabadiliko ya kiharakati hapa nchini. Kama ulivyo utaratibu kwamba mambo mengi huanzia dar ndio yanasambaa nchi nzima basis na hilo LA maandamano mlifanye kwa bidii sana....
Dar inaongoza kula mapato ya mikoa mingine maana kila kitu kizuri hupelekwa dar.
Dar inaongoza kuwa na lower class wengi
Dar inaongoza kwa maraha yote.
Dar inaongoza kwa uchafu nchi nzima
Dar inaongoza kwa joto nchi nzima
Dar inaongoza kupokea wahamiaji kutoka kigoma
Dar inaongoza kwenye uzinzi
Dar inaongoza kuwa na viongozi wengi wa serikali
Dar inaongoza kuwa na pisi za kila aina..
Kwa maana hiyo....Dar iongoze kwa maandamano ya amani.
Wazee wakutishiwa umewasahau
 
Watu wa dar,tunawategemea mlete mabadiliko ya kiharakati hapa nchini. Kama ulivyo utaratibu kwamba mambo mengi huanzia dar ndio yanasambaa nchi nzima basis na hilo LA maandamano mlifanye kwa bidii sana....
Dar inaongoza kula mapato ya mikoa mingine maana kila kitu kizuri hupelekwa dar.
Dar inaongoza kuwa na lower class wengi
Dar inaongoza kwa maraha yote.
Dar inaongoza kwa uchafu nchi nzima
Dar inaongoza kwa joto nchi nzima
Dar inaongoza kupokea wahamiaji kutoka kigoma
Dar inaongoza kwenye uzinzi
Dar inaongoza kuwa na viongozi wengi wa serikali
Dar inaongoza kuwa na pisi za kila aina..
Kwa maana hiyo....Dar iongoze kwa maandamano ya amani.
Dar hii hii?
 
Yaani dar imejaa maslay queen mpaka wanaume....wakisikia kamlio ka risasi wanafunga na mageti kabisa na kuingia kulala hata kama ni mchana.

Mkoa umejaa sana wapuuzi...dar kila MTU anajifanya anatumia akili kati hamna kitu
Naam hiyo ndo Dar.

Kigamboni haipo Dar ujue
 
Dada ulipotea sana!Pole sana Kwa kufiwa na mume wako ,R.I.P MAGUFULI.Pole pia Kwa shemeji yako kufukuzwa kazi... Paul Christian Daud Albert Bashite
MKuu usisahau kuwa uchawi upo🤣
 
Itumike hekima Kwa mtu aliyeshika jiwe kama silaha?

Yale Yale ya Bi Simba kutetea jambazi lenye silaha na kusema hakutakiwa kuuawa alitakiwa kukamatwa na wakati amekufa akiwa anapambana na askari.

Tusiwe wepesi wa kutetea uhalifu, askari huwa wanaotoa amri kabla ya kutekeleza. Kwa Nini machinga wasikubali ili kuepusha Shari maana askari wapo kwenye utekelezaji wa majukumu?
Utakubali vingapi mkuu, kuna ambavyo vinatishia mustakabali wa maisha yao
 
Back
Top Bottom