ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Bila picha ni uzushi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndie mwenye matatizo.Hili swala la Machinga limekuwa shida sana ,yule mtu wenu ndio alilea huu uozo.
Kidumu chama cha mapinduzi.Kwanini serikali haiongei na wahusika kabla ya kuleta majanga kama haya.. tangia mwanzo!!!
Ila apo walipo usalama ni mdogo wakubali kua kila kitu kimekaa kimipango piaPolisi wanapiga mabomu ya machozi muda huu hapa Mwenge. Wanapambana na Wamachinga ambao wanajihami kwa mawe.
Chanzo cha vurugu ni kwamba wamachinga wanagoma kuondoka maeneo waliyoamuriwa kutoka na kwenda kwenye eneo walilopangiwa katika barabara ya kwenda Cocacola
Nguvu kubwa inatumika. Hekima itumike
Ulikaribishwa mjini siku ukipata kesi iyo ndio itakua dhamana yakoKuna polisi alinikopa elfu 10... Aloo haijarudi hadi leo na hafiki tena dukani kwangu.
Kwenda wapi chief Muungano wa kibabe tu huu😎Inakoelekea Tangqnyika... itafika tu
Wazee wakutishiwa umewasahauWatu wa dar,tunawategemea mlete mabadiliko ya kiharakati hapa nchini. Kama ulivyo utaratibu kwamba mambo mengi huanzia dar ndio yanasambaa nchi nzima basis na hilo LA maandamano mlifanye kwa bidii sana....
Dar inaongoza kula mapato ya mikoa mingine maana kila kitu kizuri hupelekwa dar.
Dar inaongoza kuwa na lower class wengi
Dar inaongoza kwa maraha yote.
Dar inaongoza kwa uchafu nchi nzima
Dar inaongoza kwa joto nchi nzima
Dar inaongoza kupokea wahamiaji kutoka kigoma
Dar inaongoza kwenye uzinzi
Dar inaongoza kuwa na viongozi wengi wa serikali
Dar inaongoza kuwa na pisi za kila aina..
Kwa maana hiyo....Dar iongoze kwa maandamano ya amani.
Dar hii hii?Watu wa dar,tunawategemea mlete mabadiliko ya kiharakati hapa nchini. Kama ulivyo utaratibu kwamba mambo mengi huanzia dar ndio yanasambaa nchi nzima basis na hilo LA maandamano mlifanye kwa bidii sana....
Dar inaongoza kula mapato ya mikoa mingine maana kila kitu kizuri hupelekwa dar.
Dar inaongoza kuwa na lower class wengi
Dar inaongoza kwa maraha yote.
Dar inaongoza kwa uchafu nchi nzima
Dar inaongoza kwa joto nchi nzima
Dar inaongoza kupokea wahamiaji kutoka kigoma
Dar inaongoza kwenye uzinzi
Dar inaongoza kuwa na viongozi wengi wa serikali
Dar inaongoza kuwa na pisi za kila aina..
Kwa maana hiyo....Dar iongoze kwa maandamano ya amani.
Mbona RC Chalamila alishaenda hapo mwenge akawataka waondoke? Sijawahi ona wamachinga wakihamishwa eneo kirahisi rahisi.Kwanini serikali haiongei na wahusika kabla ya kuleta majanga kama haya.. tangia mwanzo!!!
Dada ulipotea sana!Pole sana Kwa kufiwa na mume wako ,R.I.P MAGUFULI.Pole pia Kwa shemeji yako kufukuzwa kazi... Paul Christian Daud Albert BashiteKwanini serikali haiongei na wahusika kabla ya kuleta majanga kama haya.. tangia mwanzo!!!
Naam hiyo ndo Dar.Yaani dar imejaa maslay queen mpaka wanaume....wakisikia kamlio ka risasi wanafunga na mageti kabisa na kuingia kulala hata kama ni mchana.
Mkoa umejaa sana wapuuzi...dar kila MTU anajifanya anatumia akili kati hamna kitu
Utakubali vingapi mkuu, kuna ambavyo vinatishia mustakabali wa maisha yaoItumike hekima Kwa mtu aliyeshika jiwe kama silaha?
Yale Yale ya Bi Simba kutetea jambazi lenye silaha na kusema hakutakiwa kuuawa alitakiwa kukamatwa na wakati amekufa akiwa anapambana na askari.
Tusiwe wepesi wa kutetea uhalifu, askari huwa wanaotoa amri kabla ya kutekeleza. Kwa Nini machinga wasikubali ili kuepusha Shari maana askari wapo kwenye utekelezaji wa majukumu?