Mwenge, Dar: Mapambano ya Polisi na Wamachinga. Mabomu ya machozi yatembezwa

Mwenge, Dar: Mapambano ya Polisi na Wamachinga. Mabomu ya machozi yatembezwa

Hili swala la Machinga limekuwa shida sana ,yule mtu wenu ndio alilea huu uozo.

Sasa Serikali ilipe fidia maeneo wanavyotaka Ili biashara zifanyike

Pia nimewahi shairi kwamba tunapojemga Barabara Tujenge Kwa kuzingatia maeneo rafiki ambayo yatawezesha Machinga kufanya biashara kando kando ya Barabara
Idiot!... Yani watu wafanye biashara kando ya barabara?
 
Polisi wanapiga mabomu ya machozi muda huu hapa Mwenge. Wanapambana na Wamachinga ambao wanajihami kwa mawe.

Chanzo cha vurugu ni kwamba wamachinga wanagoma kuondoka maeneo waliyoamuriwa kutoka na kwenda kwenye eneo walilopangiwa katika barabara ya kwenda Cocacola.

Nguvu kubwa inatumika. Hekima itumike.

=======

Pia soma mdau huyu aliyekumbushia kuhusu sakata la Wamachinga Mwanza:
Sakata la Wamachinga na mgambo Mwanza lilishia wapi? Walipewa maeneo au walirudi barabarani?
Mpaka leo kuna mawe katikati ya mji? [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Sema hivi,huna akili ndio maana unashangaa.

Kwani kujenga service road na kujenga maeneo ya Machinga pembeni mwa Barabara Kuna tatizo?
Nenda ukawajengee basi .. kufanya biashara kwenye barabara,juu ya mitaro ya barabara, kwenye njia ya waenda kwa miguu, service road na hadi kwenye hifadhi ya barabara hairuhusiwi hiyo ni sheria na adhabu zake zipo ila kwa sababu mnaachiwa tu hayo maeneo mnayafanya yenu ..kama huna mtaji wa kukodi frame tembeza bidhaa hizo hadi utakapokuza mtaji ufanye biashara kwenye maeneo rasmi.
 
Hakuna mmachinga anayetaka kufuata sheria, nenda Mbagala ukaone wamachinga wanavyowapa tabu wajenzi wa barabara ya mwendokasi, wajenzi wanaweka vitofali vya sehemu ya watembea kwa miguu wao wanang'oa wanavitumia! Wajenzi wanajenga mtaro wao wanatumbukiza taka za miwa, matunda na mbogamboga, ni elimu ipi uwape! Kila siku wanafukuzana na mgambo.
Mbezi mwisho pale ndiyo balaa

Ova
 
Mpaka leo kuna mawe katikati ya mji? [emoji15][emoji15][emoji15]
Eneo ambalo wsmachinga wameokota hayo mawe ni vifusi vilivyomwagwa na Manispaa eneo hilo. Hivyo kimsingi Manispaa imewasogezea huduma ya mawe ya bure
 
Hili swala la Machinga limekuwa shida sana ,yule mtu wenu ndio alilea huu uozo.

Sasa Serikali ilipe fidia maeneo wanavyotaka Ili biashara zifanyike

Pia nimewahi shairi kwamba tunapojemga Barabara Tujenge Kwa kuzingatia maeneo rafiki ambayo yatawezesha Machinga kufanya biashara kando kando ya Barabara
Umeona pale doko la Machinga Fofoma lilivyojengwa kwa kuzingatia vigezo hivyo?
Kila manispaa ya Dar pangekuwa na eneo maalumu la wamachinga mbona hizi kero zisingekuwepo
 
Umeona pale doko la Machinga Fofoma lilivyojengwa kwa kuzingatia vigezo hivyo?
Kila manispaa ya Dar pangekuwa na eneo maalumu la wamachinga mbona hizi kero zisingekuwepo
Ndio inavyotakiwa tena maeneo yenye watu sio kuwafukuza wakati hujawaandalia sehemu ya kwenda
 
Ndio inavyotakiwa tena maeneo yenye watu sio kuwafukuza wakati hujawaandalia sehemu ya kwenda
Pia bahati mbaya nyingine ni kuwa watu wa mipangomiji hawapewi nafasi kusikilizwa ama kuelekezwa hili hitaji
 
Dada ulipotea sana!Pole sana Kwa kufiwa na mume wako ,R.I.P MAGUFULI.Pole pia Kwa shemeji yako kufukuzwa kazi... Paul Christian Daud Albert Bashite

😂😂😂😂😂
Nimecheka maana mnajua kutunga.. sasa hao sijawahi wanna uso kwa uso.. ndio Bado mnaniweka kwao.. 😂😂😂😂

JF burudani.. sijapotea.. tupo na Mama.. tafuta popcorn fasta kabla burudani haijaanza. Mtasaga meno
 
Back
Top Bottom