Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hiki ni kisa cha kuhuzunisha, Mwenge Kijijini jijini Dar inalia, misiba ya watu wawili marafiki John Simba na Patrick a.k.a Masu a.k.a Masumbuko marafiki chanda na Pete.
Issue iko hivi, washikaji wote wawili walikuwa wakiumwa, John Simba alikuwa mgonjwa zaidi, na Masu alikuwa akiumwa pia ila fresh fresh kimtindo, akilala siku mbili, siku ya tatu mko naye mtaani mnakula mamboz.
Sasa juzi, Masu kakata moto, majonzi yametanda na mshikaji wake john Simba hana taarifa kwamba nigga wake kakata moto.
Jana sasa ,wakuda wamemjulisha kwamba mshikaji wako Masu kavuta. Duh mshikaji kapatwa na mshituko, akang'ata shuka.
Basi hii misiba yote ni Mwenge mitaa ya Bamaga hapa jirani kwa P Funk
Issue iko hivi, washikaji wote wawili walikuwa wakiumwa, John Simba alikuwa mgonjwa zaidi, na Masu alikuwa akiumwa pia ila fresh fresh kimtindo, akilala siku mbili, siku ya tatu mko naye mtaani mnakula mamboz.
Sasa juzi, Masu kakata moto, majonzi yametanda na mshikaji wake john Simba hana taarifa kwamba nigga wake kakata moto.
Jana sasa ,wakuda wamemjulisha kwamba mshikaji wako Masu kavuta. Duh mshikaji kapatwa na mshituko, akang'ata shuka.
Basi hii misiba yote ni Mwenge mitaa ya Bamaga hapa jirani kwa P Funk